Unajua kama ukawa ungebaki peke yake bila lowasa nauhakika tungejikita kwenye ubunge na halmashauri zote na ndiyo jinsi ya kuimaliza ccm na si uraisi kama walivyojizuka mda wote.sasa majimbo machache na urais challllliiii
sq.3500 zinapatikana katika beach ya mtwara shangani karibu na chuo cha veta.ni eneo linalotazama bahari kuu ya mtwara pia kuna mahotel makubwa kama NAF BEACH HOTEL 5star,SEACLIFF HOTEL MTWARA na nyingine nyingi zinatazamiwa kujengwa mwanzoni mwa mwaka ujao.kwa mawasiliano zaid 0713 239120 ni...
Ndugu watanzania kuna swala muhimu lakini kwakuwa si la watanzania wote kwa mojakwamoja bali linamgusa kwanmna nyingine.(ndugu au rafikiyo).
Katiba yetu haimpatii mtanzania kuoa nje au kuolewa nje na kuja kuishi nyumbani na mwenzi wako mpaka ulipe tozo za serikali.inamanisha ili mkeo au mumeo...
SI KOSA LAKO!ungejua magali ni kitu cha kawaida sana na pia yanafanana kwa maumbile yote.hiyo gari ni used bei yake ni dollar 44,800.ushuru kalipa sana 30m.mpya inauzwa usd 400,000. kutegemea na specifications zke.hiyo ni 2002
dada inaonekana wewe si mzalemdo halisi ktk swala la mtwara ingawa kazi ulianzia hapo.lakini haitoshi lindi pia kwenu na wao pia wanguswa na hili pia kwa 100%.sasa wewe nini kinachokuuma mbunge muhindi ambaye mmemchagua wenyewe nawewe pia kushindwa kumtetea kwa mlicho mtuma wanamtwara!!!!UNAFIKI...
acheni utoto na wekeni utaifa mbele.huyo ni binadamu tu hawezi kuwa sahihi mda wote.chakuzingatia ni sisi wananchi kupima kwa mafanikio au mapingufu yao.ngd kaeleza vizuri anayoyaona kuwa ni mapungufu,basi nawe lete mafanikio yake tujadili,au kurumbana kwa hoja.msitukane kwa kuwa ni mjomba,baba...
MFICHA UCHI SAFARI HII KAZALISHWA NA LISU....pagumu hapo na wasipo angalia ni hotuba ya kukamilisha safari ya kugawanyika rasmi.ok weka ngoma wanaoyua wacheze.HAPO TECHICS ZA CHADEMA KUWAACHIA CCM WACHEZE MZIKI WA MUUNGANO WAO WAPIGE BAO UCHAGUZI...HAPO CHACHA...
kwa kweli hali halisi ndivyo ilivyo lakini nadhani wazanzibar na watanganyika walishakubaliana kuwa na aina pekee ya muungano na si kwa vigezo vya kimataifa isemavyo.hivyo kama hakuna mivutano yenye kuvunja amani ni bora tukaboresha ili kufukia mashima yanayokwamisha maendeleo.HAYO YOTE NI SIASA...
wachumi tuekeni wazi hivi kwa sasa serikari ikitekeleza matakwa yao inawezekana?na kama itawezekana ni kwa namna gani?nashindwa kuelea maana kwa jinsi bajeti inapopitishwa tunaona ufinyu mkubwa katika seka husika na bado wachumi hawatoi mapendekezo yao.kwa ujumla serikari inashindwa kutoa...
okey wewe jiboreshe zaidi ili uje upate kuwa star katika swala zima la nonino...na liweze kukuingizia kipato kwani nikipaji hichoooooo na kinapaswa kukuzwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.