unamlaumu nan thatha?kutokana na upeo wenu mdogo ndo haya sasa yanatokea,tatzo mlchagua chama na sio m2,,these are impacts ...jitu n ropokaji(fungen mlango 2pigane) et mbunge huyooo hahah..jambaz hlo..lnafcha maovu yke kwa ubunge ili acjulikane zombe akafchua,,mara katbu alaf ana mkana...
Yan wewe inaonesha dhahir kwamba ulipata div 4 form 4 na upo mtaan na huna plan B sasa unataka kuanzsha machafuko kwa 7b zczo na mcngi unashndwa kutofautsha rasilimal za libya na tanzania,yan nasoma thread yko huku natetemeka kwa kukuona ni mtu hatari..mods hi cyo thread ya kuja hewan admins ebu...
jaman imepita muda mrefu sasa haya magazet ya alasir na dar leo cjapata kuyaona cjajua n kp klchowasb..wana jamii naomba mnsaidie kwa mnaofahamu kwa nn magazet haya hayapo?
kama umesepa ni wewe2 kwa kuwa ulikuwa na interests zako bnafs yeye mwache mwny uchungu na chama na nchi yke pia ktk kukiweka ktka form nzur..na nan amekudanganya kuwa anaepambana na ufsad n yeye peke yake?!MWACHE afanye kaz yake
hakuwa na haja ya ku address biashara ya mtu na kuidharirisha fiesta...hakuona v2 vyote vbaya vyenye negatve impact km ngono,ulev,wizi,ujinga etc haku2mia busara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.