dini zote zishaingiliwa kitambo..pempe tatu noma...mnajua y titanic ilizama..y lincolin and john kenned waliuwawa..y ww1&2, osama mwenyewe walewale na kwanini siri ya tatu ya sista lucia (waliotokea na bikra maria) ilichakachuliwa...kuna watu wanaendesha dunia..kila kinachotokea kimepangwa na...
asiogope unezakuta hata mume mtarajiwa wake pia bikira coz kumkuta mwanaume wa kuoa mwanamke kabda ya ngono...!!! mara chache sana..inaonekana kabisa atafurahia hali hyo
kwakweli hemedy alichofanya si kizuri ila alichofanyiwa ian nimefurahi sana... i wish angekifanya mtu mwingine asiye mtanzania ingekuwa safi sana kale kajamaa kanatuchukia sana watz.. kifup ckapendi. ila hemed your too much, sikiliza ushauri wa mashabiki wako ingawa mi si mmoja wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.