Inategemea hali ya ukakasi kwa muda huo, Chezea ukakasi weyeee...The higher the ukakasi..option 5. Unatoa ukakasi kwingine huku unaendelea na kubembeleza unapo target..
Mimi hapa!tatizo tutatofautiana kupima oil mapemaaa..uongo? mana ili nihamasike inabidi nionje ndo way forward ifate..........sasa utaanza oooh tusubiri mpaka ndoa...cjui ka kuna jembe linanunua mbuz kwenye gunia.........labda kwenye mapambio inasemekana
Saka eneo lenye mishe za watu;
choma maindi
nunua yebo yebo kkoo kuanzia pair 50@ buku we unawabana 2000/=
uza matunda mfano matikiti,ndizi,machungwa n.k
katika biashara utakayo ipoint uckose pembeni kuwa na meza ya vikaranga, fegi, vipipi pipi, bazoka n.k
Nadhani ukiwa siriazi hukosi mwekundu...
Ila kama umejaza complaint form huwa inachukua siku 45. tatizo ni kama kuna jambo la msingi na dharula mfano kununua dawa za mgonjwa aliyezidiwa alafu inatokea mizinguo ya staili hizi inakuwaje? Kampuni husika zinawajibika vp?
Wadau naomba mnielimishe utaratibu na gharama za kupata title ya kiwanja kwa maeneo ya Mbezi-Msakuzi(Mpigi Magoye road) na Kitunda kivule...Nasikia ni shughuli pevu lakini kuna haja ya ku accomplish hili, tafadhali nahitaji idea how to start the process and how much should I have in hand for the...
Sure Bobby umeuliza swali la msingi sana mana kama wanazuia mkoko ni balaa lingine tena...unless haina jinsi mana mzee mzima kama maji yamevuka shingo yako kidevuni..haina jinsi ni kupiga TZ 11..... Ndessa inabidi adadavue zaidi au atusaidie contact if possible
Sure Bobby umeuliza swali la msingi sana mana kama wanazuia mkoko ni balaa lingine tena...unless haina jinsi mana mzee mzima kama maji yamevuka shingo yako kidevuni..haina jinsi ni kupiga TZ 11.....
Haa haa inategemea namna gani mtu ana tune his/her mind. Inawezekana lakini kiuhalisia zama hizi za utandawazi hakuna kitu kama hicho, mpenzi anaweza kuamua kukuridhisha kuwa msubiri huku anaendelea na magoma mengine. Hii kitu hii achana nayo..
Mkuu haina kipingamizi limitation ni positions tu! Hata hivyo zipo sababu za kitabibu zinazoweza kupelekea mama kupewa complete bed rest mfano cervical incompetence(kulegea kwa shingo ya kizazi), hapo mzaz ukila vitu unaweza temesha mzigo...
Yani zama hizi za digitali bado mtu ana ufahamu kwamba unaweza pata HIV kwa sexual intercourse tu! kama amepata maambukizi kwa njia nyinginezo je? let us be aware bana....Ndo yale unasikia mtu anajisifu eti "mi noma,demu nimemega na condom 2, hapo ngoma labda iwe mkono wa mtu" kumbe ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.