RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa nchini.
Katika mabadiliko hayo, amewateua Wakuu wa Mikoa wapya 15, kuwabadilisha vituo vya kazi Wakuu wa Mikoa watano na wengine saba wamestaafu kwa mujibu wa taratibu. Mkuu wa Mkoa wa Singida amebaki kwenye kituo chake cha kazi wakati...
duh! kaka nimefurahi kwa mtazamo wako juu ya suala la dini ila kaka mtazamo wako na ushauri wako wa mwisho mh! naomba nicheke kwanza hahahahahaha! umewaza kaka! labda inaweza kusaidia mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.