Wakuu naomba msaada..mwanangu ana umri wa miaka mitano hajawahi kusumbuliwa na masikio ila nahisi ana inflamation kwenye masikio inayomsababishia homa je dar doctor gani anaweza nisaidia? Maana muhimbili ndiyo hivyo tena
Mkuu kwa umri wako inanipa tabu kidogo kwa nini hujapata msichana wa chaguo lako maana mapenzi huanzia shuleni kanisani msikitini sehemu ambazo unakutana na watu wa aina tofauti tofauti...kuna wasichana wengi tu wazuri ila kwa sababu ya shida wanajiuza sinza kama uko dar...unaweza kubahatisha...
Msafara wa rais unakimbia sana bila ya kuzingatia hali halisi ya barabara zetu, hii ni kuhatarisha hata maisha yake mwenyewe...kuna haja gani ya kukimbia speed 120/hr sehemu zenye msongamano wa watu na magari? Ndiyo madereva wote wa msafara huyo ni wazoefu wakubwa na wenye mafunzo ya kila namna...
Kaka nashukuru...nadhani nitaenda dukani pale kwa matanda kinondoni nadhani watakuwa nazo vinginevyo ntanunua used.... sijui zitanitoka ngapi duh mambo ya magari haya ila cha ajabu zinagonga kwenye rough road tu ukiwa kwenye lami kimya kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.