Geita ni mji wa kiserikali na kimadini pia ,ila mzunguko wake haueleweki kwa sababu alisimia kubwa ya wakazi wa pale ni wafanyakazi wa mgodini GGM na serikali hvyo Mara nyingi siku za Wiki unakuta pamepoa....lodge zinalipa sana hapo geita,ila mambo ya maduka sidhan sana
Huyu jamaa Sina shida nae kwny matumizi ya L na R ,shida ipo kwenye alichoandika ,mshkaj ni mshamba totally,since zamarad ni smart lazima aolewe na mume bwege coz atafanya vitu vyake kismart bila mume bwege kuelewa ,kamwe asingeolewa na smart mwenzie,turudi kwa mwamba,yaani jamaa anaongelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.