Watu wanaongea sana lakini wanasahu kitu kimoja "Maji" Maji ndiyo tatizo! CAG alipokwenda Marekani akanywa maji ya kule ramani ya Tanzania ikapotea kwenye ufahamu wake akawa anaiona ramani ya Marekani pekee.Sasa inafaa apelekwe na wazee katikati ya bahari Zanzibar to Dar es salaam,wakamnyweshe...
Hili jamaa ni lichochezi balaa hata anadhani kila mtu anawaza upuuzi kama wake, pole sana utaishia kubweka tuu hautamng'ata hata kidogo na miaka ten ataimaliza maana Mungu ndiye kamuweka si wewe uliyejaa chuki na kutopenda haki.
Nabii Isaya aliabdika na waenende kwa sheria na ushuhuda tofauti na hapo fahamuni hao ni watunishi wa baba wa uongo kwa vazi la dini,sheria ni Amri kumi ambazo ndizo tabia na muhuri wa Mungu.
Acha kutoa majibu mepesi kiasi hicho,aliyekwambia kuwa tatizo ni vyanzo vya ENERGY kakudanganya na ww umeamini,hebu kuza ufahamu wako ili usilubunike kiwepesi na mabingwa wa udanganyifu kwa sababu ya uvivu wa kulitumikia Taifa kwa maendeleo ya Taifa na kutumika kwa ajili ya matumbo yao na tamaa zao.
Hivi kweli wewe hujui ama hutambui hiyo ndoa ama unatoa maneno tu,uliza basi kwanza ueleweswe usibishe ovyo uliza wana Jf watakupa dada wamo wanafahamu vizuri tu.
Tabia waliyo nayo wana familia kwa kiasi kikubwa huathiliwa na baba wa familia,baba akiwa mwizi na watoto wataiba tu ndivyo ilivyo kwa chama cha magamba,bila ya chama cha magamba kuondoka madarakani Rushwa haiwezi kupungua kwani ndiyo siraha kubwa ya chama cha magamba kwenye chaguzi zote.
Hata mi pia nashauli uwepo umakini mkubwa hao magamba wanambinu nyingi za kuiba kura hasa hiyo ya kubadilisha masanduku ya kura,hivyo mawakala wawe chonjo mtu asiende hata kukojoa akawaacha magamba na washirika wake make chama cha upinzani ni kimoja tu hapa Tanzania,piganieni haki msiogope...
Wewe hujajua kuwa taarifa ya habari zikiwemo habari za Magamba ni kichefuchefu kwa walio na akili timamu na si kwako wewe huna tofauti na mwehu asiyejua nini anafanya,pole sana.
IGUNGA,kula pilau la magamba utashiba masaa mawili kisha njaa miaka kumi,KILIMUKAGI BHAJAMENI WAMETUFANYA MASKINI ALAFU WANATUPA PILAU KTK UCHAGUZI;wametufanya wajinga kama wao kwa tamaa zao;walizuia vyombo vya habari ili tusijue dunia inavyokwenda pia elimu ya uraia na haki ya mwananchi ili...
kiburi hicho kina mwisho tena si mbali tutakapotaifisha vijimali alivyotuibia na hao WATAALUMA wanaotumia taaluma yao kwa MATUMBO MBELE siku zao zimo mikononi mwa Mungu.
Huyo jamaa aombe tu na kutambika kwa bibi zake Zimwi la Magamba liendelee kutushikilia Watanzania make tukifunguka yumo katika orodha ya manyonyaji tutakayoyashugulikia halaka iwezeklanavyo.
Ndugu yangu we acha tu!,eti chama cha magamba wanaweka viongozi vijana ambao ni wafu pamoja na wazee wao ili kuendeleza giza lao;maskini vijana hao mawazo yao kama wafu waliochukuliwa misukule alafu wakaachiwa kutoka huko misukuleni.Giza linatoweka na nuru inatawala,Salam zangu kwa...
MBONA HUJATUELEZEA MBINU MNAZOTUMIA ILI KUSHINDA KATIKA UCHAGUZI ZA KUCHIMBA MASHIMO KATIKA VYUMBA VYA UCHAGUZI NA KUBADIRI MASANDUKU YA KURA NA KUWEKA VITUO BANDIA NA NYINGINE CHAFU HATA KUZIWEKA HADHALANI NI AIBU,we Bata nini?kamuulize mwenyekiti wa chama chako kuhusu Chadema atakwambia na...
Chadema hawafanyi siasa za kuchanganyikiwa na siasa za matumbo mbele.Nape mtazamo wake ni kama wa mbwa jike aliyekosa dume mtaani kwao ama kikojozi aliyekosa tiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.