Mimi kama mimi siono sababu ya kutumia pesa nyingi kwenye sensa, wakati kwa kupitia vitambulisho vya urai,serikali inaweza kujua idadi ya watanzania kwa ujumla.
Wakati hiyo pesa ingewezakutumika kwenye idara nyingine kwa maendeleo ya taifa.
<br />
<br />
Kwa kweli mimi huyu jamaa yuko kama mrema ni mamluki huyu ametumwa na ccm,maana aliwai kuchukua form ya upresident kwa tiketi ccm alafu akakimbia bila kurudisha card ya uanachama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.