Msamehe bure dada yangu, watu kama hao ndo wenye kufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi, maisha yangebore sana endapo wote tungekuwa na mawazo yenye kufanana.
Pole kwa upweke mushijack, nami nina tatizo la upweke kama wewe na niko tayari kuwa nawe. Kuhusu kupima VVU mimi
najijua status yangu NIKO POSTIVE! je tunaweza anzisha mawasiliano? Niko serious!
Wewe umeangalia taarifa ya habari, wanaokupa habari wamefika eneo la tukio, nami nimefika pia, nimeonyeshwa sehemu yalipotokea mauaji hayo na tukio linalozungumzwa zaidi ni la mtoto wa miaka 15 aliyekufa kwa kupigwa risasi baada ya kumchoma kisu polis aliyekuwa anampiga mama yake kwa kiwiko cha...
Hii ni dharau kubwa sana dhidi ya uafrika, huu ni ubaguzi wa rangi, mzee wetu amedharirishwa kupita kiasi, mzee Mwinyi ni rais mstaafu wa tanzania na dunia nzima inajua.Anapodharirishwa kiongozi wetu nasi kama watanzania tumedharirishwa pia, badala ya kuijadili kwa kina tunaishia kujificha...
Uko sahihi kwa kiasi kikubwa ktk mchango wako, lkn natofautiana na wewe kwenye uvivu ambalo wengi wasiofahamu mazingira ya dodoma wamekuwa wakiamini hivyo, wakazi wa Dodoma kama ilivyo sehemu nyingi za Tz na afrika kwa ujumla wanategemea kilimo cha jembe la mkono kilimo ambacho hakina uhakika wa...
Mwenye kufahamu namna ya kuinstall modem ya zain kwenye computer inayo run fedora 15 OS anisaidie tafadhari,nimekwama! Ninatumia os mbili win7 na fedora15.wins hakuna shida ila huko kwenye linux ndio ishu.
Umesahau la mwanamke wa kiislam ambaye pia ni mke wa muislam kuvuliwa nguo zote na kufanyiwa zinaa na wenyenazo kwasababu ya ugumu wa maisha, au hilo la zinaa si udhalilishaji? tujitahidi kuwa wakweli.
Ndugu zangu wanaCCM, mmefanya utafiti na kujiridhisha kwamba mkitugawa kwa imani zetu za kidini mtashinda kweli? na gharama za kutugawa huko mmezizingatia? chaguzi zilizopita tuliambiwa cuf ni chama cha waislam na sasa chadema ni chama cha wakristo, je wananchi wakiamini mgawanyo huo na kupiga...
Waungwana naomba msaada wenu, naishi na virusi vya ukimwi yapata miaka 7 sasa,mwenzi wangu ametangulia mbele za haki miaka 4 iliyopita.
Nahitaji kuowa tena, nitampataje atakaye nikubali na hali yangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.