habari wanajamii ! mimi ninanduguyangu anamiaka 30 anatatizo la UTI anaambiwa uti sugu alipewa dawa haikusaidia akapigwa sindano za mishipa kwajili ya dawa kama marambili lakini bado mkojo ni mchafu alishafanya kipimo cha ultasound ,majibu hakuna shida ila saivi anasikia mfukuto juu ya kibofu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.