Sahau hiyo kitu. Kwanza usidanganyike, JF members hawafiki hata elfu kumi. Kwa hesabu za haraka tu kila member ana ID zaidi ya tano na kuendelea. Tafakari fanya utafiti.
Yaani anye kuku tu akinya bata kahara. Kuna thread aliianzisha Globu kuhusu bidhaa za Azam. Ikaingiliana na neno Koni. Hatimaye thread ikafungwa na akala na BAN. Hii JF inaonyesha ina upendeleo kiasi fulani kwa baadhi ya members. Mmmm yangu macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.