Waziri Kairuki ameonyesha udhaifu mkubwa sana, maelezo yake ni kichekesho na yanaonyesha jinsi serikali ilivyojaa usanii na double standard. Kwa lugha nyepesi anamaanisha ni halali kwa kiongozi wa juu wa serikali kufanya udanganyifu wa vyeti lakini ni kosa la jinai kwa mwananchi wa kawaida...
Kuna wimbi la kuongezeka kwa waganga wa dawa za miti shamba wanaodai wanatibu nguvu za kiume, ikiwa ni pamoja na kuongeza urefu na unene wa maumbile ya kiume hadi kufikia inchi "6.5 kwa urefu na "3 unene. Wanasambaza vikaratasi vya matangazo ya dawa hizo kwa wingi na watu wanaitikia wito kwa...
Katika haramu mbaya hata usiwaze kuzifanya ni kutembea na mke au mume wa mtu akikupata ana ruhusa ya kukufanya chochote atakacho..
Wewe inaonekana hujaoa au kuolewa umezoea kuiba wake/waume za watu...acha kabisaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.