Wanawake wa kizanzibar wanashinda ndani kumsubiri mwanaume mmoja wa kizenji Polygamist alete chakula na mahitaji.
Mademu wa kutoka Tanzania Main Land wapo wanauza bar na reception fursa wanatamaa nazo mpaka wanaolewa na wazungu na kusepa ulaya.Mabaunsa na wafuga rasta wamesepa zenji kukaba fursa
Ni kheri kuachana kuliko kuishi kwenye mahusiano mfu.
Okoa amani yako ya moyo maisha hayajirudii hapa duniani.
Kukomaa kwenye ndoa mfu ni kujikosea heshima moyo na mtima wako mwenye coz unaweza ukaishi bila furaha hapa duniani na ukifa ukaishia kuchomwa huko Jehanamu au moto wa milele.
Sasa hao waarabu ndo wamepewa Bandari yetu na ndugu zetu wameamua kuchagua wafanye na nani kati ya serikali au mwarabu.
Dini ni usen... sana umeficha watu wenye roho mbaya ndiyo maana Mungu anajidhihirisha kwa wazungu kila kitu kinatoka kwao
Ukiona mke wako ana mtindo wa kupost vi video clips anabinua binua vimidomo na kitako ujue umeoa danga bado linatafuta mabwana.
Na ukiona mkeo huwa ana ombaomba na kutolea macho hela ndogo ndogo na akisikia hela kubwa anapagawa ujue huyo kuwa mwaminifu labda akiwa mochwari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.