kwa wale walioangalia habari kwa kina ya star tv wameona jinsi walivyoipa coverage kubwa habari inayoonesha adha kubwa ya umeme na maji wanayoipata wakazi wa mwanza pamoja na adha ya umeme wanayoipata wakazi wa mbeya kwa kweli hali ni mbaya sana na inatishia uhai na usalama wa maisha ya...
Hakumuonya waziri mkuu bali aliwaonya wabunge na mawaziri yanaoenda kuongea na waziri mkuu na kuwataka waache tabia hiyo na badala yake wamfuate ofisini.
Nani asiyemjua tendwa, huyo ni mteule wa ccm lazima alinde maslahi ya chama na kwa kuwa maandamano ya chadema yanatishia uhai wa chama chake lazima ayaponde.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.