Search results

  1. M

    Mch. Fernandez amlaumu Nyerere kwa kutaifisha mali za wahindi!

    Huyo jamaa ni msanii mbona anajidai ni mchungaji lakini sasa amefungua kapuni ya Agape Associate ianjishugulisha na mabo mengi sana ya kibiashara. sasa TV yake ya Agape ni mpaka ulipie TIN ndio unapata matangazo,na tukumbuka katika mkutano wa Mh Pinda na waekezaji wa Sumbawanga na maeneo ya...
  2. M

    Human resources officer-msaada

    wadau hakuna HR officers humu? mbona mmenipotezea kabisa??
  3. M

    Human resources officer-msaada

    Wadau naomba mnisaidie,ilikufanya kazi kwa ufanisi kama human resources management officer(wa tasisi ya uma-training institute) naitaji kuwa na nondo gani za muhimu kuniwezesha kufanya kazi hii? Mfano copy za sheria gani? Public standing orders na yapi mengine?
  4. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante mdau kwa mawazo yako,nimekupata
  5. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante sanadugu yangu kwa msaada huu mkubwa na kunipa moyo niendelee kupambana
  6. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Wadau naendelea kupokea mawazo na misaada yenu pia...
  7. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Asubuhi imekucha hakika naamni itakua siku mpya na bora kuliko zote.wasalaamu wadau
  8. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante sana mkuu kwa ushauri wako nimekupata vizuri sana.
  9. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante sana ndugu kwa kunipa moyo na zaidi kuniweka katika sala zako,ahsante sana sana.
  10. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahasante sana ndugu yangu kwa maneno ya faraja.
  11. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante Mkuu kwa mawazo yako
  12. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante nawe pia mdau
  13. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsanteni sana wadau naendelea kusikiliza misaada yenu ndugu zangu.
  14. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante nawe kwa kunip[aa moyo na mawazo mdau.
  15. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsante sana mdau ngwanakilala na wana jf family wote kwa msaada mkubwa.mmenipa matumaini mpya kabisa.
  16. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    wadau naenedlea kupokea mawazo na misaada yenu,ahsanteni sana
  17. M

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Ahsanteni sana wadau kwa msaada mkubwa wa miongozo na maneno ya busara sana,siko kama nilivyokua,napata mwanga na matumaini mapya kwaajili yenu wadau.
Back
Top Bottom