Search results

  1. JohnShaaban

    Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

    Tatizo la wasomi kukosa vyeti vya elimu ya msingi and sekondari lipo kwa watu wengi waliosoma miaka ya nyuma... nilitegemea Mzee Tupatupa angelieleza hili vizuri. Miaka ya nyuma (pengine hata sasa pia) vyeti vilichelewa sana kufika shuleni baada ya mwanafunzi kumaliza rasmi elimu yake. Hili...
  2. JohnShaaban

    Neema Mrindoko atakiwa ajieleze kiwanja cha TBC kuwa na jina lake

    Subiri siku atakapotumbuliwa "Bulembo" ndo utajua akina nani wanaisoma namba o_O
  3. JohnShaaban

    Ufisadi kupitia zabuni za NSSF: Dr. Dau na genge lake wawajibishwe!

    Mkuu Mwasu, nakuunga mkono kwa mifuko hii kuwekwa chini ya BoT ili uzalishaji wa fedha unaofanyika uweze kunufaisha wachangiaji wake. Chini ya BoT, mifuko hii itatakiwa kutoa gawio la faida ya biashara kwa wachangiaji kama mrejesho wa uzungushaji wa fedha unaofanyika. Kinyume na hapo ni utapeli...
  4. JohnShaaban

    Shame Shame Shame on you... Dk. Rutengwe

    Kwa elimu yake, ni bora JPM angemteua kuwa "Bwana Shamba" wa kijiji husika maana nchi ingefaidika na uwekezaji kwenye kumsomesha... hopeless!!
  5. JohnShaaban

    Uchaguzi wa Meya Dar: Isaya C. Mwita(CHADEMA) aibuka mshindi

    Mabadiliko gani unayataka zaidi ya Meya kutoka CHADEMA? CCM hamuishi vihoja... mmepindua ya Zanzibar, na huku mlitaka kuongeza kura 67 hadi zizidi 84? Msitafute mlango wa kuwanyima watu wa DSM maendeleo kwa kigezo cha Meya toka CHADEMA!!
  6. JohnShaaban

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Kudadeki, Watanzania walikula "nyama ya mtu" kipindi cha uchaguzi sasa wamehamia kwenye UDINI. Dhambi itaiandama CCM hadi nchi iifie mikononi... yetu macho, mfyuuuu!
  7. JohnShaaban

    Bila ya Muungano leo hii Zanzibar wangekuwa wanachapana!

    Huo ni UKABURU na mara zote huwa una MWISHO. Makaburu wa SA walikuwa na nguvu sana ukilinganisha na Serikali ya Muungano wa Tanzania, lakini ilifika mahali nguvu ya wenye haki ikatawala. Kinachosumbua Zanzibar ni UBAGUZI unaofanywa na kundi dogo lenye kudhani wataongoza milele!
  8. JohnShaaban

    Lukuvi akabidhi ramani za maeneo yote ya mitaa ya Jiji la Dar kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa

    Manispaa inachoangalia ni kukosa kodi WALA sio haki iliyopotea kwa muda mrefu kwa wakaazi wa K'ndoni. Hawa ni "mbwa-mwitu" waliojaribu kujivisha "ngozi-ya-kondoo" kwa sababu hapo awali walikuwa chanzo cha upimaji holela "over-sudden" wamebadirika na kutaka kuwaadhibu wananchi kwa makosa yao...
  9. JohnShaaban

    Waziri Mkuu Majaliwa apiga marufuku mikutano ya kisiasa

    PM ameanza kushindwa mapema hivi?! Anafaa kuambiwa kuwa utendaji wa Serikali hauna uhusiano wowote na shughuli za vyama vya siasa. Biashara kuu ya vyama vya siasa ni kufanya siasa ili kuongoza dola. Hivyo, shughuli za kushika dola zianaanza pale uchaguzi unapokwisha pasipo lengo kuu kutimia...
  10. JohnShaaban

    Nyumba ya Sumaye kupigwa Nyundo mpaka Chini!

    Haki na wajibu ndio msingi wa Sheria. Ikithibitika ni eneo la wazi, lisisalie hata jiwe!
  11. JohnShaaban

    Tumshauri Dr. Joyce Ndalichako

    wizara ifufue "Elimu Supply" walau kusimamia "standardization" ya vitabu vya kiada na ziada kwa shule za msingi na sekondari. Elimu isihachwe kuwa biashara ya "publishers" uchwara wanaopigana vikumbo kuingiza vitabu vyao kwenye ufundishaji. As of now, there no professionalism at all!!
  12. JohnShaaban

    Siri yafichuka: Kumbe Mussa Natty ni Katibu wa Friends of Lowassa Wilaya ya Kinondoni

    Umeshajua Natty anakuja KUMTUMBUA jipu Baba Mwanaasha unaanzisha syndicate kwa Lowassa. Tulia jipu LITUMBUKE ili muisome namba!!
  13. JohnShaaban

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    Akimalizana na Dr. Mwaka awaeleze watu wa Elimu wachunguze uProfessor wa China aliotunukiwa Rais wetu kipenzi pasipo kufundisha darasa lolote.
  14. JohnShaaban

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    Anatafuta "excuse" za kuendelea kusafiri kila kukicha, yeye ajue tumechoka maana Rais wake hajaondoa mguu zaidi ya kwenda Dodoma. Nina wasiwasi mleta mada ametumwa ili aendelee na "kiguu na njia".
  15. JohnShaaban

    Afande Linus G1614 maeneo ya Sayansi (Dar), ni mla rushwa mkubwa

    Watanzania tuna safari ndefu sana! Ilipotoka ile video ya traffic kila mtu alipaza sauti na yule afande akafukuzwa kazi. Kuna mtu alihoji "integrity" ya video ile?! Au kwa ulofa wetu tunadhani mtu hawezi kutengeneza video ya namna ile?! Vipi kuhusu mtoa rushwa katika video ile, alichukuliwa...
  16. JohnShaaban

    Ninauliza Je Kula Mihogo Mibichi kuna Faida gani? Je hakuna Madhara kula Mihogo Mibichi?

    MziziMkavu nafurahi tena kuona udadisi wako kwenye masuala ya afya. Hili la mihogo mibichi nami pia nililisikia wengine wakilihusisha na masuala ya nguvu za uzazi na kunivutia kutaka kujua kwa undani! Baada ya kupitia pande zote mbili, niliona madini ya zinki na potasiam kama kiungo mojawapo...
  17. JohnShaaban

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    ...anamalizia kupiga "selfie" na Miss Tanzania.
  18. JohnShaaban

    Dk Magufuli apukutisha Viza Wizara Mambo Ya Nje

    Wanafiki bhana, teh teh teh:- - Hawa ndio walikuwa wakimsifia Mkuu wao kwa "SAFARI ZENYE TIJA"! - Wapo waliosimama bungeni kutetea kwamba mkuu wa kaya "ANAHEMEA" ili nchi ipate misaada! - Wapo ambao walishadadia ukubwa wa misafala kuwa inasaidia kufungua milango ya uwekezaji! - Leo ndio wa...
  19. JohnShaaban

    Nape: Anayofanya Mhe. Magufuli yapo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi

    Wamlazimishe Magufuri aseme "Anaongoza Serikali ya CCM", maana tangu siku alipokula kiapo amesisitiza "Anaongoza Serikali ya JPM". Nape ajibu swali la mwanzisha thread kama ilani za watangulizi wa Magufuri ziliruhusu "Rais kupiga deal Ikulu", mchanga wa dhahabu kusafirishwa nje, safari za nje...
Back
Top Bottom