Wanajamvi naleta hoja hii nikirejea yanayoendelea kule mjengoni. Sijapata kusikia wabunge wa ccm wakipinga agenda ya serikali, namaanisha Tume ya Rais wao iliyoongozwa na Warioba. Rasimu inayojadiliwa ya serikali mbili imetokana na tume gani?
Nawasilisha.
Kwa hiyo kama hana PhD hawezi kusema habari za wenye PhD? Acha mawazo potofu. Ukiwa ndani ya sisi M huwezi kupinga mpaka ujitoe. Hebu funguka tusubiri ajitokeze.
watakuwa walibadilisha jina. Hata mimi nlikuta jina mmoja la mwanzo, la pili limebadilishwa. ilikuwa kama sikosei ni 2008 pccb walitangaza jobu ikabidi niache kuaplai. afu hakuna picha kwenye cheti hicho pia ni bure.
Suala la wingi wa misamiati migumu na maswali mengi yenye lugha ya
kuchenga na yenye maelezo marefu yanatuchanganya. Hata walimu
wanaingia darasani wanatufundisha somo la English kwa kiswahili.
nukuu uk. 83 ya ripoti
JAMANI wako wapi hawa akina :
1. Ole Sendeka? anastahili kupewa kadi ya cdm atakuwa mpambanaji mzuri.
2. Stephen Wasira? sla:high5::A S angel:a kaiba pesa za kanisa!!!! cjui kwa nini anamchafua maskini wakati si mgombea!!!!! apunguze
kulala bungeni.
JAMANI wako wapi hawa akina :
1. Ole Sendeka? anastahili kupewa kadi ya cdm atakuwa mpambanaji mzuri.
2. Stephen Wasira? slaa kaiba pesa za kanisa!!!! cjui kwa nini anamchafua maskini wakati si mgombea!!!!! apunguze
kulala bungeni.
Mi nadhani kesi ya Lema haina uhusiano na kuvuliwa ubunge!!!!! ni maswala madogomadogo ya kinidhamu. Hata hivo JF wasihofu hata likitokea hivyo, Arusha bado itachukuliwa na PIPOOOOOOOOOZ POWER
Tamaduni ipi hiyo jamani? Nilikuwa nawaza mkeo kalala na mamake chumba kingine kati vyumba vyako 4 niseme kapitiwa na usingzi huko wakiwa ktk stori, c unajua tena mama na mwana? Nadhan ulipaswa kumuuliza juu ya jambo hiyo 2jue karespond vp 2jue 2shaurije huenda hajui km ni mwiko!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.