miaka yote hiyo wameficha idadi ya walouliwa, ingelikua ni wazungu hapo, tungejuulishwa mmoja mmoja.na kinacho shangaza tuunambiwa hawa alshabaab ni kikundi kidogo lakini nchi kumi za kiafrica na mabingwa wa anga america na drones zao bado hawaja wapiga tu.
i was very surprised to see kenyan and somali who lives in kenya supporting their country to go to war in Somalia because anyone with any brain would see this disaster coming, you expect Kenyan army to go and bomb alshabaab while you in kenya are enjoying and watching the war on television...
ni vizuri kumtahiri siku ya nane kwa sababu ndio sunna ya mitume, na ukimtahiri akiwa mchanga inakua hajitoneshi kwa sababu hajaanza kutembea na kutambaa.
sasa mnalalamika nini???
solution musiwapigie kura tu, lakini kila kukicha mnapigia kampeni vyama vyenu vya siasa na kuwasifia mie nataka wapeane milioni mia kwa siku si washapata mijinga.
ukiangalia historia utaona kwamba saudia ilikua chini ya ottoman empire, lakini mwingereza na family ya al saud walipindua na ikapachikwa family ya saud kutawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.