Swala ni kwamba mwanaharakati wa ukweli kama dk, Slaa kulipwa mshahara ml, 7. Aiseeeeee ni mkubwa mno wakati mtanzania anayempigania na kumtete anaishi chini ya dola 1 kwa siku , nina mashaka nae kama kweli si fisadi maana mshahara wake unaweza kuwalipa mshahara walimu ngazi ya degree 18...
Swala ni kwamba mwanaharakati wa ukweli kama dk, Slaa kulipwa mshahara ml, 7. Aiseeeeee ni mkubwa mno wakati mtanzania anayempigania na kumtete anaishi chini ya dola 1 kwa siku , nina mashaka nae kama kweli si fisadi maana mshahara wake unaweza kuwalipa mshahara walimu ngazi ya degree 18...
Tatizo ni kwamba walimu wapo kwenye mgomo siku nyingi sanaaa. ndo mana wanafunzi wengi hawajui kusoma. usione wanakwenda kazini lakini hawafundishi kabisa sababu ni mishahara midogo na malimbikizo ma madai yao. habari kamili uliza cwt.
kwa tetesi nilizozipata kutoka chanzo kimoja ni kwamba matokeo ya mitihani ya darasa la saba na form 4 ya mwaka huu yanayotegemewa kutoka hv karibuni ni kwamba kiwango cha ufaulu kimeshuka tena.hivi wizara haijui kwanini wanafunzi wanafeli?kwanini kila mwaka tulalamikie hili?
Jamani hivi hii elimu yetu hapa Tanzania inaweza kundoa tatizo la hukosefu wa ajira maana kuna vijana kibao wamemaliza vyuo vikuu na wapo tu bila ajira wala shughuli yoyote.wengine wamesoma internation relation, education, statistics, business administration, public administration, law, rural...
hivi chama cha walimu tz kutangaza mgomo wa walimu nchi nzima mwakani baada ya likizo utafanikiwa kweli, wamejipanga? maana nijuavyo mimi migomo mingi imeshindwa kuleta mabadiliko kutokana na tofauti kati ya walimu wenyewe pia hata walimu kutokuwa na imani na chama chao [cwt]. mfano mwaka...
no evidence or research no ringt to speak, habari zote ni za "eti" alafu kufeli mtihani si kipimo tosha kwamba huna akili? je waliofaulu wanamzid nini? hivi kwenu ninyi wote walifaulu kama sio tabia ya nyani kuona lamwezake tu. acheni ushabiki wa kisiasa bana........................
hivi ebu tumieni akili kidogo hao walioitwa special [talented] walikuwa special kati ya wajinga wale wakutupwa, ni wazi kuwa hawawezi kufika mbali wala kufanya mapinduzi yoyote ndo mana tunalia na matatizo kila kukicha. tena wengine wamezidiwa na wale wajinga [vilaza] kimaendeleo. ni aibu...
Je umejaribu kwenda kwenye mashilika ya dini? Je serikali za mitaa, kijiji au kata wamekupa msaada gani? Pia onyesha kama kuna juhudi zako binafsi ulizozifanya ili watu wavutiwe na waweze kukusaidia, mwisho taja chuo ulichochaguliwa [kwa rejea] na kiasi kinachoitajika. ni ushauri tu.
serikali kupitia Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia elimu katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Jumanne Sagini walitoa kauli kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 06 November 2011 walihaidi kuwa kufikia...
HUKU MTAANI KWETU TUMECHOSHWA NA WEZI WA SIMU, hii imetokea ja na trh 11/11/2011 morogoro kata ya kichangani mtaa area six ninja baada ya kijana mmoja anayesemekana ni mkazi wa kata ya kilakala mjini hapa baada ya kumpola mama moja simu yake ila wananchi walifanikiwa kumkamata na kumpa kichapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.