Nauliza tu, kama taratibu zilikiukwa za kuharibu jengo, je wahusika hawawezi kwenda mahakamani kudai haki na mkataba iliyovunjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Adolf Hitler alikuzwa na kuungwa mkono na viongozi wa dini! Tusione ajabu viongozi wa dini wamekuwa Kama wabunge leo! Wengine wanatukuza hadi binadamu mwenzao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Udom wamelitolea tamko leo, Mwenyekiti wa Baraza la chuo nimeona kwenye Online Ngasa TV kalizungumzia. Mnaweza kufuatilia YouTube
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinamsumbua Spika wetu. Spika ni dhaifu sana. Anayo ile Hali ya inferiority complex..... Anaona akiacha jambo hili ataonekana dhaifu kumbe kuendelea nacho ndo udhaifu wenyewe. Kuna kitu kinafichwa hapa siyo kauli ya CAG!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hadi siku watu wa calibre yako "Mudawote "watakapopata angalau robo ya uelewa, Tanzania ya viwanda siyo viwonder inawezekana. Mfano mdogo tu... Badala ya kujadili hoja umekimbilia kujadili watu..... na kuanza kuleta akili za Lumumba.... Anyway, Ngoja niishie hapa. Make """in a Queen's...
TL aliposema, rais huyu apingwe na kila mwenye akili hawakumuelewa! Kama ni makala ya jana ndo chanzo basi maneno ya Lissu tumeanza kuyaishi. Wengine wafurahie lakini nao anawaijia. Alianza kwa Chadema na CUF... Leo anawarudi Watanzania.
Naona nawe hujakwepa lawama za waandishi hao unaowadharau. Ukifuatilia stori yako imejaa conspiracy theory na chuki. Ungekuwa objective kama usinge attack individuals. Kuna sehemu umeshauri vizuri waandishi wamfuatilie huyo Paul Christian aka Bashite. Kubadili jina siyo yeye tu ila matokeo ya...
Tanzania is heading nowhere. Tulidhani huyu kiongozi angetuunganisha na kutuvusha lakini naona giza nene! Chuki, visasi na utawala wa kutofuata sheria kwa vigezo vya kunyoosha nchi! Hapo ndo tutajikuta miaka kumi imepita na tuko palel pale au tume slip nyuma zaidi
Tanzania is heading nowhere. Tulidhani huyu kiongozi angetuunganisha na kutuvusha lakini naona giza nene! Chuki, visasi na utawala wa kutofuata sheria kwa vigezo vya kunyoosha nchi! Hapo ndo tutajikuta miaka kumi imepita na tuko palel pale au tume slip nyuma zaidi
Namuuliza Mzee Saidi Mohamed, kwa nini historia ya TANU, Tanganyika na Zanzibar zimepindishwa sana? Kwa faida ya nani? Nimekumbuka neno moja" History is a story of great men" ....Ruling elites and not true story of the people of the land.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.