Una wazo zuri lakini kwa nchi yetu hii labda ukopeshwe na ndugu na sio tahasisi hizi za kibenki.kumbka milioni 35 kulipa kwa miaka 8 unaweza tozwa riba ya 25% kwenja juu.Ukijumlisha utakuta unahitajika kulipa kama 43milions.Kama box unapiga serikalini hapo sawa ila kama ni kwa muhindi ni ngumu...
Dada kwa iyo elimu yako ziko NGOs nyingi za maswala ya ukimwi zina wahitaji watu wenye hali kama uliyonayo.Umekwisha pitia baadhi ya mashirika ya namna iyo? umuimu wa kutoficha ndo unapokuja hapo,pitia mashirika kazi za elimu yako ni nyingi mno.
Dada hautakiwa kulaumiwa ila mimi naomba nikulaumu kasha nikushauri.Wewe si wakwanza kupata ili tatizo na watu hata ambao hawana wana ndugu na jamaa ambao wametutoka au bado wanaishi na ili tatizo.lawama zangu kwako ni kutoanza kutumia dawa mapema.toka 2008 mpaka leo ni muda mrefu sana na kama...
Kwa iyo huyo mdada kama hautaki kupima una future gani naye.umemsifia kiasi hicho lkn bado unataka kumchezea kama si kumuambukiza.haufai kanisani wala msikitini.shame of you.
Unasomea level ipi? Certificate,doploma au degree? Kama ni degree unaweza pata kazi nyingine the kijamii ikiwa utakua muhangaikaji na uhalimu sio mbaya kiivyo kuna kuna private school wanalipa vizuri sana ambapo unaweza pata mshahara wa figure 7.
Mwanzo siku zote mgumu.kama kwa sasa hauna kazi ni bora ukaenda alafu dill jingine laweza patikana ukiwa job.
Na unaweza ukawa unaishi kwa shem yako hapo ulipo alafu utaki kwenda chukua 500000.shauri yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.