Search results

  1. D

    UEFA Champions League, Special Thread

    B iko ngumu kumeza sana chief.
  2. D

    UEFA Champions League, Special Thread

    He..he..he..he..he Group D imekaa mwake yaani watauana hapo. Kila mmoja ni bingwa wa league ya kwao sasa mabingwa wamekutanishwa.
  3. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Nyoka aling'ata sehemu iliyo karibu.
  4. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Basi kazi ipo mbona tutakoma.
  5. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Huyo binti anajua kuchakachua thread alianza kuigeuza kijiwe cha salamu mtu chake njoo umchukue huyu asije kutandikwa huku.
  6. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Yeah hata mimi nimeona juhudi zake raisi wetu mdhaifu(kwa mujibu wa Mh Mnyika).
  7. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Kweli mjini mipango ukizubaa kidogo watu wanafanya uwekezaji kwenye mfuko wako.
  8. D

    How Many Countries Have You Travelled To??

    Mimi nimefika mgeninani na mabwepande nchi zina changamoto hizo.
  9. D

    Take Care People!!!Men at Work.

    Ulishang'atwa na nyoka nini?
  10. D

    Je, huu ni utapeli au ni kweli?

    Mjini shule amka...
  11. D

    Rais Abdulaye Wade wa Senegal akubali kushindwa!

    Uraisi sio ufalme maana kuna watu wanataka mpaka wafe ndio wauachie.Senegal wamemfundisha hilo somo huyu babu.
  12. D

    Sizitaki mbichi hizi

    Hii imenikumbusha mbali sana aisee!!
  13. D

    UEFA Champions League, Special Thread

    Yaani mechi hii mtoto hatumwi dukani.
  14. D

    UEFA Champions League, Special Thread

    Semi final zitakuwa. Marseille or B.munich vs Apoel or R.M Benfica or Chelsea vs Milan or Barca
  15. D

    UEFA Champions League, Special Thread

    Kazi ipo hapo kwa Ac Milan Vs Barca miamba ya ulaya inaumana game kali sana.
  16. D

    Bukoba tour report

    Asante kwa ripoti na salamu.
  17. D

    jane-000 hitaji lako limejibiwa

    Atakuwa ameteleza kidogo last time i checked alitoa twisheni ya kizungu kwa Young Master.
Back
Top Bottom