Search results

  1. B

    Zito,Mkumbo na Wenzake kufanya mkutano na waandishi wik ijayo

    Poleni sana kina Zito, Do not argue with an idiot. He will drag you down to his level and beat you with experience.Lema.
  2. B

    Zito,Mkumbo na Wenzake kufanya mkutano na waandishi wik ijayo

    Watazungumzia ushahidi dhaifu dhidi yao. ____________________________________________________________________________________________________- IF I END UP IN YOUR ASS PROBABLY I HAVE A BEND DICK.
  3. B

    Nchi bora africa kwa uwekezaji je ni kwani hatuko?

    Top African Countries for Investment
  4. B

    Nchi bora africa kwa uwekezaji je ni kwani hatuko?

    1:South africa 2:Mauritius 3:Rwanda 4:Moroco 5:Seychelles 6:Botwana 7:Namibia 8:Gambia 9:Gabon
  5. B

    Nchi bora africa kwa uwekezaji je ni kwani hatuko?

    Nilikua najaribu kutizama ni nchi gani nzuri kwa kuwekeza ndani ya africa,sikushangaa sana kwa nini hatuko kati ya nchi hizo, kwa sababu ya historia yetu ya kupora mali ya watu (kutaifisha),lakini ni muda mrefu sana toka kipindi hicho, ni kajiuliza tena je ni kwa kwa sababu bado chama ni...
  6. B

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Watanzania tumebweteka na amani sana hadi tukaanza kusahau umoja wetu kama nchi,tumekubali wanasiasa kutuchonganisha na kutuletea udini.na hii inatokana na watu wengi kutokujua madhara ya vita.hebu tizama iraq ambapo madhebu mbili kati ya shia na suni wanavyolipuana watu wanaogopa hata kwenda...
  7. B

    Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Kuna siku moja tulikua na mkutano mkubwa wa kilimo na mheshimiwa jumanne magembe alisema,sioni kwa nini GMO ya pamba isiruhusiwe kwakua nguo tulizovaa zote ni gmo na sisi hatuli pamba,nilitamani ardhi ipasuke yaani waziri mzima kasahau kua tunakula mafuta ya pamba na mashudu tunalisha mifugo.
  8. B

    Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Najua nilikua natakiwa kufahamisha kido kwa wale wasiojua GMO nini. kifupi hawa monsanto wanatengeneza kiua gugu inaitwa glyphosate au roundup,sasa sikumoja waka gundua kuna bacteria inaishi kwenye uchafu au mabaki ya dawa,wakaja na mawazo ya kuchukua gene ya yule bacteria kisha kuiweka kwenye...
  9. B

    Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Kwa mimi hatari kubwa siyo afya pekee, ni pale mahitaji muhimu ya kibinaadam haswa usalama wa chakula unapovamiwa,kwa waafrica tumekua na tamaduni ya kuwa na mbegu zetu ndani ya manyumba vijijini na ni hiari yake kununua mbegu ya hybrid au opv ili apate mavuno bora, sasa unapoleta mbegu ya...
  10. B

    Hatari ya nchi yetu

    Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mungu kwa kunionyeshamengi duniani,Kuna jambo ambalo linani nyima usingizi na ni suala tunalolisikiala udini,nime bahatika kufanya kaziubalozi wetu wa Tanzania nchini Somalia miakaya mwisho wa utawala 1990 natulihamishia kazi zetu Ethiopia baada...
  11. B

    Mafanikio ya serikali ya AWAMU YA NNE katika MAPINDUZI YA KILIMO

    kwa muda wa miaka nyingi tumekua tukisikia serikali ikizungumza kilimo kwanza,ukimwuuliza mwananchi maana yake ni nini wengine wasema ni powertiler wengine ruzuku wengine hata wanayaita landcruiser new model kilimo kwanza,sishangai kwani wakala wengi wamechakachua mpaka haieleweki inamaanisha...
  12. B

    Waraka - Uraia Ndumila kuwili (Dual Citizenship)

    hivi kitu ambacho sisi watanzania hatuelewi ni ukweli kuhusu uchumi.rasilimali kama dhahabu gharama ya uchimbaji ni kubwa mno uliza wachimbaji wadogo watu wangapi wanatajirika kwakuchimba dhahabu.uchumi wa kisasa ni kama singapore ambapo ni wa viwanda lakini kwetu ni ndoto wazawa wengi wenye...
  13. B

    mama wa kilimanjaro

    mama mmoja wa mkoa wa kilimanjaro alimuuliza mama wa kiswahili hifi mamananihii subeda haonekani sikuhisi amemsafirisha?mama akajibu mwanangu kavunja ungo simrusuhu atembee tena,mama wa kilimanjaro mbula kafunja ungo tuu?makdalena kajunja jagi hizo?mbilli tfi,fikombe hasihesabiki sijui na mimi...
  14. B

    Unajua somalia kuna ndugu zetu?

    tuna zungumzia wasomali wabantu sio hao ukiwaona unajua ni wasomali hao walisha kujaga kipindi fulani miaka ya 92 na serikali ikawapa uraia na kusema tunawarejeshea uraia wao wana ngomazao za asili kuna wengine ni wadigo.hao ndio wakwetu na hawasafiri kama hao vichaa wenye nwele laini.
  15. B

    Unajua somalia kuna ndugu zetu?

    Mnamo karne ya 19 enzi ya utumwa kuna watanzania walichukuliwa na waarabu na kuachwa Somalia na wanaongea kiswahili, population inakadiriwa laki tisa. Wanajulikana kama Somali bantu google utaona. Tuwaombeni mungu awaondolee matatizo ni watu wetu walichukuliwa bila kupenda.
  16. B

    cross eyes

    baba mwenye makengeza alipamiana na mtoto kisha akawa mkali,we mtoto hutizami unakoenda,mtoto akajibu ni wewe unakotizama huendi.
  17. B

    Changudoa

    Kuna night club flani nilikuta changudoa wana mzunguka mtaliii mja hajui kiingereza ana mwambia mtalii luk may milk is standing.
  18. B

    Housegirl

    leo nilialikwa kwa jamaa yangu,baada ya kumaliza msosi nikaulizia toothpicks mwenye nyumba akamwuuliza housegirl toothpicks iko wapi? house girl nikitu gani baba hicho?jamaa akafafanua ni vile vijiti vya meno.housegirl akaseme baba imeisha,jamaa akaja juu imeishaje na hali nimenunua juzi tu...
  19. B

    Famine Ravages Through Somalia.

    mara nyingi ni vizuri uangalie kama alshabab ndio walizuia mvua isinyeeshe toka 2009,na picha ya tatu hapo juu google hao ni somali bantu ndugu zetu asili yao bongo.wapumbavu sio hao watoto wala wamama wanaokufa na njaa ila kama una busara na una dini ujue hilo,kwenye vita wanao umia ni raia...
Back
Top Bottom