nimegundua wanawake wengi wanaishiaga kupata mimba na kuzitoa au kujifungua, lakini wanatatizo kubwa sana la kushindwa kujua siku salama na zisizo salama kufanya mapenz...
tusaidiane kuelimishana wa JF
date sana kaka
mimi nadate mtoto mdogo, like sio sana lakini nimemzidi sana...mapenz yetu ni so intresting n due to that we will b togther forever...
mi nakusupot ila naomba jitahidi sana usidate mtu wa umri wako its disaster
mhhh mapenz bwana...ndugu yangu kiuhalisia apo unaibiwa if at all ni mpenz wako au wee ndo unaiba otherwiz
-maamuzi ni yako ila mambo yako uchi kabisa apo...ebu jaribu kufkiri wewe ungekua hutaki aguse sim yako sababu ingekua nini???kwamba unaiba vocha????
giza co issue sana ila nahis usiku kuna kitu flani kinaongezeka...atakama taa zimewashwa lakini ile kitendo ya kua usiku uko njee na katemperature basi bamia inateleza safi kabisa
mi cfkiri ivyo...
watu wangapi wameoana kwa ndoa na mambo mabovu tu? nimeshtuka kuona unaniambia uchunguzi mdogo uliofanyika ..." umefanyika wapi na takwim zinasemaje...???? izi mambo hazina formula, japo kimaadili ya kitanzania yale yalowekewa misingi yanataka ndoa kwanza...itategemea tu mtu...
mi cfkiri ivyo...
watu wangapi wameoana kwa ndoa na mambo mabovu tu? nimeshtuka kuona unaniambia uchunguzi mdogo uliofanyika ..." umefanyika wapi na takwim zinasemaje...???? izi mambo hazina formula, japo kimaadili ya kitanzania yale yalowekewa misingi yanataka ndoa kwanza...itategemea tu mtu...
yani kunakatatizo kidogo na wanawake wa style yako....chamsingi sio ukae hapo ushangae, tafuta tatizo rekebisha lasivyo utashangaa tu...i tel ya, hamna mwanaume anapenda kusumbuana na mtoto wa kike.....ukileta usumbufu ndo atakucheat au atabaki kula kitungi tu kuburudika na maisha yake
ndugu yangu utakua umelogeka...maana sioni ata unachojiuliza, kama umeshaona itakuletea shida kwenye ndoa yako fanya maamuzi magumu tafuta mschana wa kazi ambae hana mvuto kwako....afu ujishike maana nahis kuna sababu ya wewe kufkuza sana ma h/girl
definitely this is not the type of president we wanted. ila sioni kama anakosea sana, maana hata angejifungia ikulu simuoni kama mtu mwenye kutufanyia uamuzi wa mwisho katika mambo mengi ya msingi...ni bora akatembea tembea kama kisingizio cha kuchelewesha maamuzi pia nnaamini bora mtembea bure...
tuachanae na mambo ya kung'ang'ania chama bwana. Nahis tufike maali tuangalia potential people rather than a chama....nnapenda kumuangalia jembe Ben awamu ya tatu, japo alitoka chama hikihiki cha kijani, alikua na maamuzi na mtizamo wake tofauti sana, wether anakosea au anapata...mimi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.