HUU NI UONGO WACHANA KWEUPE!!
Kwa habari za uhakka kutoka katika eneo la tukio ni kwamba mkutano umeahirishwa kutokana na gari la Tundu Lissu kuharibika na hivyo kushindwa kuendelea na safari ili afike Kiomboi.
Hapana hujamwelewa ameunganisha.
Katika mkutano wa hadhara wa Mh
Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA.
jijini mwanza,
mtu moja
ametangaza hadharani kutoa
kiwanja chake kwa ajili kujengwa
ofisi ya chadema.
Source: ITV HABARI SAA 2 UCKU
J3.
Kwani ni Lazima Uwe Chadema ukiona hakikufai si unatafuta Chama chenye katiba inayokupendeza wewe?
Anaeiona Cdm haiko sawa akae pembeni atuachie chama chetu.
Nawasalim wote wana JF
Ushauri kwa Rais wangu Ili Watu Wapate Kitu Toka Kwake Waweze Kumkumbuka.
Awam ya kwanza Rais wangu ulichaguliwa na wananchi wako wakiwa na matumaini makubwa sana kwako.na Kauli ulizoingia nazo
watu wakaamini kuwa kweli ni Chaguo sahihi
ila siku zilianza kwenda ukiwa...
Mmekurupuka na mleta mada.
hiyo Randama mnaijuila?
hayo ndio maoni ya wanainchi kupitia CHADEMA hayo mabox 17 ni ushahidi tu jinsi hayo maoni yalivopatikana.
naona mnatokwaaa na povu mdomoni mnawalowanisha walioko mbele yenu.
Habari wana JF
Huwa naumia sana pindi nionapo kiongozi wa CHADEMA pindi anapokamatwa awe na kosa au iweje haijalishi.
Mbunge wa ccm akihitajika police ni tofauti na wa CHADEMA huyu utadhani labda ni jambazi sugu.
tuliwahi kusuhudia kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama akalala ndani na kupelekwa...
na cha ajabu katibu mkuu wa cuf amepandishwa jukwaani na mkuu wa wilaya y Singida mjini.
hapo inadhihirisha kuwa lao ni 1 ccm na cuf.
wamelenga zaidi kuichafua CDM.
Mkuu katika wajinga niliowahi kuwapata wewe umshikilia bendera unawaongoz yaani wewe ni # 1.
yaani umekuja na pumba ambazo haziwezi kutusaidia lolote we jina lak linakuhusu
bila hata aibu unamwambia aje ajibu!
ajib lipi huu utumbo wako?
aache kuelekeza nguvu kwenye mambo ya aje ajibu ujinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.