Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma linamshikiria Afisa utumishi wa chuo kikuu cha Dodoma@UDOM, P.LIPILI kwa tuhuma ya kupatikana na madawa yadhaniwayo kuwa ya kulevyo.Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa Afisa huyo alikamatwa jana tarehe 27.08.2001 majira usiku wa manane akiwa na pipi zidhaniwazo...
Jamani kuna mdogo wangu amemaliza Form six HGL mwaka juzi akapata Division 3 akiwa na principle tatu.Hata hivyo kulingana hali ya maisha kuwa ngumu niliamua kumtafutia kibarua amudu kujikimu mahitaji yake.Kwa sasa anaendelea na kibarua na nimemshauri mwaka huu ameomba Open University na amepata...
Kuna kila dalili kuwa mtafeli maana hamjishughulishi.Kumbukeni mchango wa mwalimu ni 40% tu ktk kuwezesha ufaulu mwanafunzi. Kama sasa mko busy na keyboard jamvini mtaperuzi saa ngapi wakati mnajua umeme nao ni wa mgao?
Muda mfupi uliopita nilikuwa naongea na Commisiner wa Polisi kuhusu ajira ndani ya jeshi la Polisi amesema kwa sasa kule CCP kuna recruit kozi inaendelea ambapo inategemewa kuisha 2012 mwezi wa 2 au 3 baada ya hapo ndipo wataajiri wengine,hvyo tegemea labda kwa kipindi hicho.Hata hivyo ametoa...
Mzalendo wa kweli siku zote hudai haki kwa ajili ya watu wote.Anaye wabagua Polisi si mzalendo na pengine ni mharifu.Tuwatetee pengine watatulinda ipasavyo.
Jamani wakichoma tu na sisi tuchome vilivyo karibu yetu kisha tuandamane kuelekea makao makuu ya kila Mkoa/wilaya na wengine Bungeni kuhoji kama wakuu wa mikoa/wilaya na idara husika kama wameshindawa kusimamia sheria na kwamba hawakusikia kauli ya Comrade Zito Kabwe.
Watanzani Washington DC wajipanga kwa maadamano hapo muda mfupi ujao kupinga hali tete ya Tanzania.Je,hapa Bongo vp mazee mbona mko kimya au ndo Ofisi za sisiemu zimewaweka busy for nothing?Tokeni bwana tuikomboe nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.