Search results

  1. R

    Research Consultation for Master's Students

    Uchani kudumaza watu nyinyi ndo maana maofisini huku limtu linakua na masters alafu jeupee hata kuchangia hoja haliwezi.
  2. R

    kiwanja kinauzwa kibaha kongowe.

    15 by 15 milion 5 ! Mzee hizo ni sqm 225 tu hata robo ya robe heka hakijafika
  3. R

    Kiwanja kinauzwa Chanika

    Mzee ume add value sio!
  4. R

    Shamba Linauzwa Vianzi, Vikindu

    Weka bei ww au dalali!
  5. R

    Nahitaji samsung tab s 8.4 3G

    Ipo samsung tab 10.1.kama upo interested ni pm
  6. R

    Mashamba yanauzwa KIBAHA

    Nimeambiwa kuna masahamba eka 1 laki 5 mkuu hapo kibaha mbona ww so expensive mkuu una title deed?
  7. R

    2005 SUZUKI SWIFT For Sale

    Bei unaua kaka
  8. R

    Car for sale: 5.5Mil

    Hii gari kama bado ipo nijulishe tuongee vizuri.Hope discount ipo hapo
  9. R

    Jipatie nyumba ya kupanga tabata segerea.

    Weka picha mkuu.Nahitaji kabisa.
  10. R

    Update nssf

    Bado mapema mno.Ajira za January zile ndugu
  11. R

    Kazi za Estate officers-TRA

    Jamani nani atujulishe lini wanaita kwa interview maana kuomba Kazi tu ilikua Kazi.TRA badilisheni online application system yenu sio user friend kabisa
  12. R

    Msaada juu ya bachelor of procurement

    Kasome popote tu mwisho wa siku ufaulu final paper na research za PSPTB.Bro wangu alinzaga foundation mitaani na private na sasa ana Cpsp life goes on na yuko sawa kabisa.Na mimi nimesoma Ardhi University lkn nimeona pia niongezee na haya mambo November napiga P1 na Inshaalaha CPSP...
  13. R

    Msaada juu ya PSPTB review classes....

    Professional 1 ndugu huko kwenye manunuzi tunaona patama
  14. R

    Msaada juu ya PSPTB review classes....

    Naambiwa kuwa kuna kituo pale YMCA Posta Mpya
  15. R

    PSPTB ni kiboko ya yote.

    Je jamaa wanaruhusu mtu kupiga kama Private?
  16. R

    kituo kizuri kwa kufanyia paper za PSPTB

    Hamna kituo kwa City Centre huku nataka kupiga P1 this November.
  17. R

    Je AZAM TV itaonesha world cup?

    No kuna Chanel mbadala zinaonesha
  18. R

    TBC1 haitaonesha michuano ya kombe la dunia live

    TBC2 ndo nimi kwani wana deal na nn
Back
Top Bottom