Kuna mengine utokea sababu ya fundisho kwa wengine.Kipindi cha ujamaa kulikua na chuki kati ya viongozi na wananchi wenye uwezo.Kitendo cha kuuliwa RC kingeachwa bila onyo kali kingeweza kua mwanzo wa mauaji mfululizo ya viongozi.Pale ni kwamba Serikali ilionyesha mamlaka yake .
Wala sio waislam tu ,ni asili ya mwanadamu kumrudia Mungu wake akiwa kwenye matatizo.Ata wakristu wengi uvaa rozali au kubeba biblia wakiwa mahakamani.
Kwa ajili ya michezo alipata Zero form six jitegemee secondary .baada ya kutambua ugumu wa kuchanganya Shule na michezo,alijikusanyia hela za ada akajiunga Diploma CBE na kuweka kando michezo.Ni msomi mwenye bachelor
Mmoja utaka umiliki zaidi na utawala,ila akijua kuna mwenzake ujitahidi asikukwaze wala kukuhudhi akiofia kuzidiwa na mwenzake.Watashindana kukurizisha
Kwa kuangalia mazingira ya Tukio na jinsi walivyoungua ni kwamba aliwaua kabla ya kuwachoma.Angewachoma wakiwa wazima wangekutwa mbali na Godoro katika kutapa tapa.Inawezekana aliamua kupoteza ushahidi kwa kuwachoma ili vitu kama alama za vidole viteketee .
Zimbwe Jr,mchezaji pekee aliyecheza mechi zote za Simba ligi hii dk 90, ndiye mchezaji anayeongoza kwa kucheza dakika nyingi ligi hii kwa kiwango cha juu
Kupenda ni tafsiri pana sana,ila unaweza ukampenda asiyekidhi haja zako za mwili.Hapo ndipo panapotokea uchepukaji.Mara nyingi wanaume au wanawake wanaochepuka uwa hawako tayari kuishi na michepuko yao.Utagundua kua yupo tayari kuishi na mpenzi wake anayempenda ila inapokuja kwenye kuridhishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.