Daktari mmoja alikuwa mlevi mpaka ikabidi apelekwe kwenye sektarieti ya maadili na mahojiano yalikua hivi; kiongozi:kwanini unalewa kwa kiwango hicho wakati unajua madhara ya pombe! daktari:asante sana,hivi unajua wote tutakufa sasa kwanini nife na mapafu na maini mazima?
sikia rejao katika dunia hii uctishike na manguo ya mwili mzima kwani hiyo ni staili tu wangapi unaowajua mwenyewe wako hivyo lakini wanagawa sana hata mimi kidogo nipewe
Aisee hii ipo sana hata kwa waha kwani baba yangu naye alidharaulika wakati mambo hayajanyoka hivi sasa wanataka ushauri kwake kama wewe ni mkiristn bibria inasema mawazo ya masikini hayasikilizwi kata kama mazuri jipe moyo ipo cku watatia heshima
Mawazo ya mtu mwenye ubongo wenye njaa lazima yafikili kinjaanjaa kuwa makini sana la sivyo utapata shida kwenye dunia ya utandawazi kama hii ambapo hata shehe anaalikwa kanisani kwa heshima kubwa bila kujali dini
Hivi wewe ni greater thinker au Manake unayoyachangia yanaonesha elimu huna labda ya udaku manake hayo maneno hata himam mwenye akili nzuri hawezi kusema nenda shule kasome jinsi kitambi na ngozi nzuri au mbaya zinavyopatikana
mimi binafsi nimeamini kuwa upendo wa mtu hauzuiliwi na misimamo ya kidini kwani mimi ni mkristo tena mlokole lakini nampenda binti wa kiislam tena wa swala tano yeye pia ananipenda
kama kuna watu wanaofikiria kwa kutumia makalio basi ni baadhi ya viongozi watendaji manayake maamuzi mengi wanayofanya wanayafanya kwa kutumia makalio madogo bac ningewashaur watumie dawa za mchina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.