Ni kweli hapo makampuni haya tuliyoyabinafsisha yanamatatizo makubwa sana. Nyie wazungu wanaunyanyasaji wa hali ya juu. Inabidi serikali iwasaidie lakini serikali gani inaweza kuwasaidia hawa watu????
Hivi hapo TICTS kuna nini? Mbona mara kwa mara wanagoma? Halafu nasikia Karamagi na wenzake ndoa wanataka kuchukua hizo hisa zao. Nchi yetu hii jamani. Wafanayakazi wa TICTS msikubali haki yenu iondoke hivi hivi na natamani kwenye mashirika mengine wangekuwa na umoja kama wenu, watu...
Wana JF, nimeleta topic mpya kabisa japo ni nje ya topic hii ni kwa sababu wengi tulioughaibuni tunatafuta vimwana na wakaka wa kuoa/kuolwa nao. Kuna hii blog nimetumiwa na rafiki yangu unaweza tuma maelezo yako hata na picha. Pia utakutana na wenzako wahitaji kama wewe. Jitafutie Rafiki /...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.