hey mkuu huo ni upepo wa shetan tuu asee....usiwazee ukijua hesabu hata usingizin unaiota.lakin sio kwamba weee n mkali wa hesabu kivile hapana, jibu n kwa kuwa formula malaya umeijua.
sometimes matatizo ndio yanachangia,angalia kama hili.amemaliza chuo cha ualimu, kisha kapangiwa nachingwea au matumbuni ndaniii hukooo,wazazi wanaishi mwanza pia maskini.labda wewe kama mzazi unafanyaje kwa hilo aseee.
also ni vizur kufahamu ni sumsang model gan unailenga.kwa sababu matoleo ya sumsang ni mengi siku hizi kuachilia touch za michina.pia kuna double lain touch screen sumsang original.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.