Nasikia kufuga kware ni mpaka upate kibali cha maliasili. Watu wanafuga tu lakini siku wakikuotea inakula kwako. Anayefahamu utaratibu wa kupata kibali atujuze.
Asante kwa ushauri wako millions movement. Niko Dar na mtaji ni sh. 20m pesa ya frem ni tofauti. Nataka kuweka vifaa mchanganyiko vya ujenzi. Ushauri kuhusu eneo p/s na usimamizi nitakuwa mwenyewe.
Wapinzani na wananchi kwa ujumla wamekuwa wanasema na kutoa tahadhari ya mambo mbalimbali serikali haisikilizi mambo yakiharibika wanadai tusilaumiane na tusikitike. Kuhusu mihadhara na cd za uchochezi zimelalamikiwa muda mrefu sana, sasa majibu yameanza kutokea wanadai siyo wakati wa...
Kupata taarifa za mbwa we google tu hao wote wanakupa taarifa hafifu sana, kwa mfano mtu anakwambia mbwa anakula mara moja tu kwa siku. Mbwa mkubwa ndio anakula mara moja lakini puppy wanakula zaidi ya mara 1 kutegemea na umri wake. Polisi nao hawana mbwa wazuri watakuongopea tu kuwa huyu german...
Napendekeza idara ya TRA ingekuwa inatoa nishani kwa wafanyabiashara ambao wamefanikiwa kukua kwa viwango ambavyo wataviweka wao. Iwe wafanyabiashara wakubwa, wakati na wadogo. Wahojiwe waweze kueleza mbinu walizotumia kukua ili kuhamasisha kwanza ulipaji kodi pili kuhamasisha wafanyabiashara...
Ndugu yangu Zitto usivunjike moyo. Umekiri wewe mwenyewe kuwa kazi hiyo siyo nyepesi kwahiyo hata hao wanaokuvunja moyo yawezekana ndio washiriki Au wanafaidika na huo wizi, we kaza buti achana nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.