njema.huyo rafiki yako hayuko kimapenzi yuko kipesa zaidi koz yeye 1 kwa 1 anaangalia kipato na ni kazi gani bila kutambua kazi yoyte inasongesha lyf.kuna wa2 wanafanya ishu ndogo 2 na wanaishi kwa raha kuliko hata huyo ticha
kweli mama ni ishu nyingine kwakweli.ila anayekufaa ndo ndugu yako kuna mambo yanakera kaka unaezatamani uzame ardhini mpaka m2 afike hapo kweli anajua amefikwa na maji ya shingo
kuna wa2 wanapenda matawi mbele za wa2 kumbe ukifuatilia unyayo dah ni sakala huyo jamaa afiche laki zake zitamtoa bdae mpaka kuleta mada hapa hali imekua tete.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.