Search results

  1. Mtali

    Rais Samia Atunukiwa Udaktari wa Uchumi (Doctorate of Economics Degree) Uturuki

    Hizi mambo hizi.... Zinatia mashaka......
  2. Mtali

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...

    Ni kweli kabisa. Ila hii makitu sijui wadau wanaioteaje? Kwa maana kila unayo gusa watu wanakuwa wamefanya uzinduzi
  3. Mtali

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Muachie ghetto songa mbele...... Tafuta ghetto jingine.
  4. Mtali

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Mama anaupiga mwingi......
  5. Mtali

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hii vita haiwezi piganwa......
  6. Mtali

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:36hrs Lindo Makete
  7. Mtali

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hatimaye uzi pendwa mwingine.... Asante
  8. Mtali

    Kapteni Mabior Garang akiwa nje ya nyumba ya Mama yake huko Jebel Sudan Kusini

    Jamaa amekula malapa hana habari... Hizo protocol mnazijua wenyewe...... 🤣
  9. Mtali

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nipo hapa.... 2:20am
  10. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Mafuriko hayakuwa ni malengo ya mradi.... Lakini nisehemu ya matokeo ambayo hayakutarajiwa.... Au kinga haikutiliwa mkazo..... Lakini changamoto hiyo haiondoi umuhimu wa mradi....
  11. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Wakati mwingine ni bora kutumia lugha ngumu kama hivi.... Akili wanaziweka likizo na kufuata mkumbo...
  12. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Mradi mkubwa kama huo haiwezekani ufanyike bila EIA..... Final report huwa na mapendekezo mbalimbali. Ambapo katika situation kama hiyo Evacuation, Dredging construction of Dykes etc as a way forward.....
  13. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Na hao wazungu wanaowazungumzia hata siku moja hawatapenda kuona tunajitosheleza/tunajitegemea. Wanataka kuona tunaishi maisha ya ombaomba. Ndio hao sasa wanatuletea mambo ya kipuuzi kama LGBTQ.
  14. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Lakini faida ya mradi ni kubwa kuliko changamoto mnayo iona.... Kuhamisha watu 1000 huwezi linganisha na faida ya mradi. Kwasasa maendeleo ya nchi yanategemea sana uwepo wa nishati ya uhakika. Tupunguze malalamiko bali tuwe sehemu ya kutafuta suluhu ya changamoto....
  15. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Ni kweli kabisa. Labda walipumzika wakati bwawa linajazwa maji. Lakini hilo bonde lina historia ya kupatwa na mafuriko hasa kipindi cha masika....
  16. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Ni hao hao kukiwa na mgao wa umeme wanapiga kelele kama injini mbovu.... Akili wamezikalia..... Hawajawahi toa njia za kukabiliana na kutatua changamoto... Wao ni malalamiko tu....
Back
Top Bottom