Hii thread siyo mahali pake. Hata hivyo napenda kumjulisha Mujumba kuwa kazi hizi zilitakiwa zifanyike miaka 40 iliyopita. Ni aibu kwa nchi huru kwa miaka 51 yenye rasilimali za kutosha kukosa barabara kwa miaka yote hiyo. Pia Mujumba uelewe kuwa kazi ya serikali iliyoko madarakani ni kubwa...
Nape Nnauye,
Huhitaji kuwa japo na certificate ya Nursery School kujua kuwa mauaji yanafanywa na polisi kwa vile ni wababe, Wana silaha, wana itikadi ya chama cha mapinduzi, wana chama kinachowatuma ili kufifisha kampeni za kumkomboa Mtanzania nk.
Lakini ndugu yangu mpendwa, usidhani kumwagia...
Hakika mama amechafuka. Lakini kuchafuliwa kwake kusitafutiwe mchawi! Yeye mwenyewe alikuwa fisadi ndo maana hakuthubutu kusema haya wakati huo. Kama angekuwa msafi na mzalendo, haya anayosema leo angesema miaka kumi au zaidi iliyopita, hivyo angekuwa amesaidia kulinda rasilimali za taifa...
Wabunge wakiwa Dodoma wanalipwa Per diem! Hii ndiyo stahili halali ya kufanya kazi yao waliyoajiriwa nje ya vituo vyao vya kazi. Hii posho ya kukaa (Sitting allowance) ni kwa ajili ya kazi gani nyingine zaidi ya waliyotumwa na kulipwa per diem? Mimi ni mtumishi wa serikali hiyo hiyo, nikitumwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.