Sipingi hoja iliyowekwa hapa. Ila tukumbuke pia kuwa Nanyaro si malaika na pia kati ya wagombea wengine wapo pia wenye uwezo ila hawajapata ground ya kuonyesha uwezo wake.. kimsingi aombwe Mungu achaguliwe kiongozi atakayeweza kubeba vision ya bavicha..
Ccm wanataka kutupeleka pabaya... sidhani kama huu mfumo wa kuingilia maswala nyeti ya nchi ya tija kwetu wananchi.. waachie mfumo uliowrkwa ufanye kazi peke yake....
Hakika, tunahitaji wazalendo wengi kama hawa ili kuibadilisha nchii hii... Wapo wanaowaza kama akina serukamba so watapiga kuwa Lissu si Jembe ili msijali maana ukombozi unakuja kupitia watu kma hawa..............
Kwa mawazo yangu ya haraka haraka si kweli kuwa amani ya ndani ya Tanzania aimetokana na umakini ama sera nzuri ya ulinzi na usalma.. Amani imtokanana kwanza na uoga wa Watanzania na hulka yetu ya kutokupenda vurugu... Pili si dhambi kusema kuwa huna imani na chombo flani,,, kimsingi hata kama...
ishu ya WMA inawezekana ina ukweli,,, ila ninasikia kuna maeneo fulani ya vijiji vya NATTA na MOTUKERI watu wengine wamelia mpaka kuzimia kwa ajili ya jamaa.. wanadai amewasaidia sana na walikuwa wakipata misaada mingi hadi kusomeshewa watoto wao na Mawalla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.