watu hawataki kufikiri nahamini kama serikali ilifanya hv ingempoteza kufuta ushahd lakin iweje haachwe hai!ebu tujarib kufikiri.swali kunawatu walipambana kumuokowa au hamekutwa katupwa 2!
Mi naona hatutaki kufikiri,kwani jihuridhe we ndio serikali na umehamua kufanya hivy kiukweli ungemuacha mzima na kwanini ulihamua kufanya hvy!binafsi na imani na serikari naona wasihoipendea amani nch yetu ndio wanayafanya haya.
Ningependa tujarib kufikiria kidogo,hiv wafanyakazi wako hawataki kufanya kazi labda kwa sababu yoyote ile,hv unaweza kweli kutumia nguvu mmh ni jambo lisilowezekani,ila yule aliyekuwa adui yako anawezakutumia nguvu kwa wafanyakazi wako ili wewe huaribikiwe.
Mkaahe mkijuwa sio matukio yote rpc anayafahamu,mfano huku kwetu kuna mdada kaibiwa simu akaripoti polisi then akaenda kwake unataka kunambia rpc analifahamu hili,kama risasi zingelizwa ooh hapo lazima apate taharifa ama kitu kingershwa live!tusiwe wajinga wa kufikiri!taharifa inasema alihumia...
kwani si ameonyesha mikono yake je ana jeraha lolote!alafu acheni ubwege hayo ni sehemu ya maisha,jacob zuma alikuwa na kesi ya kubaka so haya maisha msisahau utu wenu bcous siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.