Shida kubwa tunayokumbana nayo huku mtaani ni uelewa wa jamii jinsi ya kutumia hizi masters. Namaanisha "siasa ni nyingi kuliko utaalam". Siasa inaamua kila kitu. Specialization za medical pamoja na kuwa very practical zinaonekana bora zaidi kwa sababu siasa haina nguvu huko
Watanzania wengi wana tabia hii. Utakuta diploma holder anasema degree holder hawajui kitu kiutendaji. This is very bad. Na hali hii pia inawafanya watu wasiheshimu taaluma za watu. Na wakati mwingine inadhaniwa kuwa kazi fulani inaweza kufanywa na mtu yoyote
Nakushauri ufanye masters degree kwanza..... Sidhani kama ni sahihi darasa la saba kuwachambua wahitimu wa kidato cha nne. Huo ni ujuaji usio na sababu
Lazima tuisifu serikali yetu kwa mambo mazuri. Binafsi wiki hii namsifu Rais kwa mambo mawili:-
1. Kuzuia usafirishaji wa mchanga wenye madini (nilitamani iwe hivyo)
2. Kupunguza riba ya mikopo BoT kutoka 16% hadi 12%. Nadhani Benk ndogo nazo zitashusha riba (nilitamani iwe hivyo).
3. SASA...
Naamini watumishi wa umma wakipewa stahiki zao, tutafanikiwa :-
1. Kupunguza wizi ktk mkutadha wa rasilimali na muda
2. Rushwa
3. Kuboresha huduma kwa umma.
4. Kuinua ari ya kufanya kazi
5. Kukuza uzalendo
6. Kuondoa matabaka ya watawala na watumishi
Makato hayo yakiongezeka kutoka 8% kuwa 15%, tayari mtumishi ana makato mingine.
MFANO MTUMISHI MWENYE TGHSD
Basic Salary = 1215000
Net pay amount (kiasi anacholipwa baada ya makato yote) = 356859
MAKATO KAMA IFUATAVYO
1. Income tax (PAYE) 17.89...%=217440
2.HELB (Mkopo wa elimu) 15%=182250...
Kabla hata ya VALENTINO Roma ya kipagani tayari ilikuwa inaadhimisha sherehe za miungu (LUPERCALIA) za kila February ya kila mwaka. Hata baada ya Mfalme Constantine kuanzisha RC miaka ile ya 300 AD mapokeo hayo yaliingia kanisani.
Ref - "The decline and fall of the Roman Empire by Edward...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.