Kulikoni Gwajima na Matusi ya nguoni kwa Pengo?
Hivi karibuni Mchungaji Gwajima amemvurumishia matusi ya nguoni askofu Pengo kutokana na kutoa msimamo wake binafsi kuhusu kupiga kura ya Hapana kwa Katiba iliyopendekezwa
Hii inamaana gani, Je ni kuwa ushirikiano kati ya Makanisa dhidi ya Uislam...
Naomba kama kuna mwenye busara anifahamishe kwetu ni wapi?
Kwa wale waliozaliwa MPANDA miaka ya sabini kurudi nyuma wamezaliwa mkoa wa TABORA wilaya ya MPANDA.
Kwa wale waliozaliwa MPANDA miaka ya sabini mwishoni kuja mpaka mwaka ya 2011 mwishoni wao wamezaliwa mkoa wa RUKWA wilaya ya MPANDA...
Naomba tuwekane sawa kwa hili
Kwa wale waliozaliwa MPANDA ya miaka ya sabini kurudi nyuma watakubaliana na mimi kuwa walikuwa wamezaliwa mkoa wa TABORA (waangalie vyeti vyao vya kuzaliwa) na kwa wale waliozaliwa miaka ya mwisho ya sabini kwenda mbele mpaka mwanzoni mwa 2011 wote waliozaliwa...
Nafikiri wewe huijui Dar kabisa, labda umehamia Dar ulipokuja kusoma ukanogewa na kusahau kwenu "SITIMBI" kwa mwenyekujua Dar huwezi kusema Temeke inaongoza kwa madawa ya kulevya kuliko Ilala na Kinondoni, fanya utafiti utaona
Ndugu yangu BORNVILLA naomba mambo mengine kabla hujayatoa JAMVINI hebu jaribu kuuliza watu pembeni maana maswali kama haya YANAKUDHALILISHA na kuonyesha kuwa ni MTUPU KICHWANI
Hivi unajua ni kwa vipi mtu anaitwa BABA WA TAIFA? or FOUNDING FATHER OF THE NATION? ungeuliza kwanza wajinga wenzio...
Mnaobeza haya Maneno inaonyesha hata uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo au pengine hamkutani na wageni wanaotoka nchi za kigeni kwa sababu wao siku zote huulizia maswali kama, KUNA DINI NGAPI, DINI ZIPI NI KUBWA NA PIA IDADI YA WAUMINI WA HIZO DINI wanatengeza idadi ya watu wa nchi hii
TAZAMENI...
Kukikomboa chama HAPANA ila nakubaliana na wewe kuwa hakuna ufisadi mwingine anaotuhumiwa LOWASA zaidi ya RICHMOND na pia huyu jamaa ni MCHAPAKAZI wa kweli, angalia shule za kata zilivyokuwa nyingi na amaewaachia jamaa kuzalisha wakimu wa kutosha ila WANACHEMSHA
Anaejiita mtoto wa MKULIMA hana...
mwanaidi wacha kutuzingua nyie ndio mnaorukia mambo bila kufuatilia hiyo iliandikwa kabisa kwamba wanatengeneza cinema sasa unatuletea ujinga gani hapa?
Utairukia mb.. Upate mimba usioitarajia
Inaonyesha wachangiaji wengi wamechangia bila hata kuusikia wimbo wenyewe ila tu kwakuwa wamesign in na kukuta thread hii (Kwa kifupi WAMEKURUPUKA)
Ukweli ni kwamba bila hata kujua nani ameukataa, endapo ukiusikiliza wimbo wenyewe bila kuwa na upande wowote ule ukajaribu kuutafutia CLASS/GROUP...
Inaonyesha wachangiaji wengi wamechangia bila hata kuusikia wimbo wenyewe ila tu kwakuwa wamesign in na kukuta thread hii (Kwa kifupi WAMEKURUPUKA)
Ukweli ni kwamba bila hata kujua nani ameukataa, endapo ukiusikiliza wimbo wenyewe bila kuwa na upande wowote ule ukajaribu kuutafutia CLASS/GROUP...
Chiume kwani Magazeti yanayomuandika ni ya CDM? kama ni umaarufu yanayompa ni MAGAZETI na sijui umetoa wapi hayo maneno kuwa anawaumiza vichwa CDM kwani umemsikia kiongozi yeyote wa CDM akimjibu Nape? TAFADHALI usituletee mawazo yako yasiyo na Mashiko Jamvini humu tunajadili HOJA zenye mashiko...
Hakuna cha AJABU hapo mkuu kwani misafara kama hii ya viongozi wa juu ndio inayotumika kusafirisha MEGENDO na hata MADAWA ya kulevya
Usimseme vibaya anafanya kazi yake
Inanifurahisha sana kuona huyu mheshimiwa KIWETE akiwa kimya kwa mambo ya msingi ya kuijenga nchi yetu na pia kutofanya bidii yoyote ya kuhakikisha wale wanyonge waliokuwa wakiiona CCM kama mkombozi hawaondoki kwenye chama na wanaendelea na imani ileile
Sasa kwa nyinyi ambao mko nae (KIWETE)...
Thread kama hizi zenye tuhuma zisizoweza kuthibishwa zinatuharibia jamvi letu, Dr. Dau si mjinga wa kiasi hicho napia hana mamlaka yoyote ya kuingilia ugawaji huo wa viwanja tutolee matatizo yako ya udini hapa huna hoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.