hawa wsichana waliomaliza form four ni wasumbufu sana mimi nilishawahi kuwa nao yaani wanajifanya wanajua kila kitu ukiwaelekeza wanajiona wajuaji sana, kutwa wallikua wanashinda kwenye TV, computer mara oh nikasome sijui nini shida tupu. mi niko tayari kukulipa hiyo hela ila shida niliyoipata...
msaada jamani nielekezeni wapi lilipo baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishukie wapi? maana naenda kwenye interwiew j3
msaada jamani naomba mnielekeze jinsi ya kufika baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishuke kituo gani? maana naenda kwanye interview j3
sifanyi biashara yoyote.just namsaidia huyu dada kwani anashida hiyo. pia awe anapewa nauli sh 600 kila siku. sio kama anamume ni uamuzi wake na kutokana na umri wake si vyema afanye kazi na kulala kwa mwajili yeye ndio mtazamo wake. j2 anaenda kanisani. ameokoka, so anahitaji muda wa kumwabudu...
msaada jamani kuna msicha ana umri wa miaka 25. elimu darasa la saba. anatafuta kazi za nyumbani (housegirl) . ila isiwe kazi ya kulala kwa mwajiri ni yakwenda asubuhi na kurudi jioni. kuanzia j3 hadi j. mosi. mshahara kuanzia sh 80,000 maelewano yapo. atakayekuwa anamuhitaji awasiliane na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.