Bantu ni watu wenye asili ya Afrika Magharibi (Cameroon) waliongia Afrika Mashariki kupitia Kongo.
Hadzabe ni jamii ya wawindaji (wapo kundi moja na Khoisan) na asili yao ni Afrika Mashariki.
Hamna uhusiano wa kinasaba wala wa lugha kati ya Bantu na Hadzabe.
Sharia za Kiislaam ni zipi? Torah ni sheria za Kiyahudi na zilikuwepo miaka maelfu kabla ya Muhammad na uislamu wake.
Acheni kufuata mila za Wayahudi halafu mnaita eti ni sharia za Kiislaam 😡.
Moshe (Mussa) anayedai alishushiwa Torah na Mungu wa Israel hakuwa Muislamu wala Muarabu.
Hata Afrika hakukuwa na makabila, Wazungu ndiyo walianza kuita mataifa waliyotakuta makabila.
Uhaya, Unyakyusa, Umaasai n.k ni mataifa yaliyokuwa yanajitegemea kabla ya kuitwa makabila na Wazungu.
Sifa ya kuwa taifa moja ni kuwa na lugha moja ya asili na watu wa aina moja. Wewe kama unachukia...
Nashangaa unavyopoteza muda na mtu asiyejielewa. Kiarabu ni zaidi ya 35% ya Kiswahili, mtu akiongea Kiswahili Muarabu anajua kuwa lugha hiyo imejaa maneno mengi ya Kiarabu.
Kuna maneno mengi ya Kiswahili sikuwahi kudhania kuwa ni ya Kiarabu hadi nikawasikia Waarabu wakiongea. Maneno kama wali...
Kama hao machotara wachache waliendelea kuzaa na Bantu pure wengi unategemea nywele zitabaki kuwa laini?
Generation ya kwanza ya machotara ndiyo inakuwa na nywele laini na features nyingi za kigeni. Baada ya hapo muonekano wa mtu unategemea na watu wataozaa pamoja.
Namaanisha, chotara wa...
Sasa mbona uislamu wote ni mila za Wayahudi na Wakristo? Zaburi, Torati, injili vyote ni vitabu vya Wayahudi. Hata upuuzi mnaoita ni sharia zote ni sheria za Kiyahudi.
Majina ya Kiyahudi kama Yusufu, Musa, Ibrahimu, Omari, Djibril yote mnaita ya kiislamu wakati ni ya Kiyahudi. Muhammad alifanya...
Hata nyie Wahindi ndiyo wanadhibiti uchumi wenu.
https://www.google.com/amp/s/africa.businessinsider.com/local/leaders/asians-dominates-kenyas-rich-list-here-are-the-top-five-wealthiest-kenyans/dv43xe7.amp
Wengi wanatumia majina yao ya Kiluo. Hapo ndiyo utaona ujinga wa uraia bandia uliotengenezwa na wazungu kama Tanzania, Kenya, Uganda n.k.
Waluo wote wa Uganda, Tanzania na Kenya ni ndugu lakini Mzungu akawapa utambulisho tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.