Wanachadema wote tujipongeza sana kwa matokeo hayo! Sisi tunatisha na safari yetu inamwanga mkubwa kabisa. Haiwezekani kabisa ngome ya CCM kwa miaka yote hiyo halafu tupte kura zaidi ya 23,000. Magamba bado wanatumia mtaji wako mkubwa wa UJINGA WA WATANZANIA WALIO WENGI. Lakini siku zinakuja...
Napeeeeeee! sema nipo! Kijana mwenzetu amefrastrate na amepoteza mwelekeo na hana jipya tena. Just imagine a young boy like Nape thinking okwadly like this it si shame Nape! Halafu anajifanya anauwezo wa kusafisha wanamagamba wote! kanafiki tu kanauendeleza. Igunga muaibisheni huyo pamoja na...
Tunashukuru sana kwa kuamua kutuoneshea utaila wako ambao umesababishwa na magamba, nafikiri utakuwa umeshapewa t-shirt na mke wako kama siyo mpenzi wako ameshapewa khanga, mmeshaoza na kuanza kutumia tumbo kufikiri. Acha utoto umekomaa ww unataka mpaka tukupigie ngoma ndo ujue kuwa umekua...
Asante sana Mhashamu Baba Askofu Mkuu, Hapo umenena umetoa hoja zilizoenda shule kama ungekuwa ndo Rais hivi basi bwana wewe ni mtumishi wa Mungu. Lakini umewapa somo waache kuropoka Has Mkuu wetu huyo anongea mambo makubwa kama rais lakini hana ushahidi. Halafu anaongea mahali pasipo husika...
Chadema mpo juu sana! siyo kama hao magamba wanaoleana sana, ukicheka na nyani utavuna mabuwa. Hao watakuwa walikuwa ni wafuasi wa magamba afadhali kama wamevuliwa kwani walikuwa wanatukwangua tulipokuwa tunakutana nao. Safi sanaaa Chadema mwendo ni huo huo tu!
Lipi jipya toka kwa hao magamba! hao wametumana kusudi kupunguza kasi za mashine kali za mapinduzi akina docta na Lisuu na Mbowe na wote wanaowanyanyasa magamba. Hii ni kiini macho hatudanganyiki, Wapi na wapi wee bwana ujamaa na kujitegemea leo acha utani mzee, pumuzika tu mzee kwani umechoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.