Kimsingi unachokisema kunaukweli ndani yake. Ndoa nyingi hazina furaha sio kwasababu watu hawapendani lahasha, bali kunanyakati huwa za furaha na nyakati za huzuni. Ni kama vile unavokula muwa tu.
Sasa mzee baba si ungewazalisha hao uliokuwa nao kwenye mahusiano nao wangekuja pevuka kiakili kuliko kuwaacha, siku wakizalishw na watu wengine utawaona nao ni LULU tena.
Kumbe nawewe Hujaolewa kama ambavyo mimi sijaoa(joke), Safi sana nimependa ushauri uliompa mwenzio, kwakweli iwe funzo kwa wanawake wote, unawezaje kutoa siri za chumbani mwako kwenye social media. acha amwache ndio atajua nini maana ya mume na ndoa kwa ujumla.
Mwambie tu kuwa "Naomba tuachane kwasababu wewe mume wangu ni mvivu kila idara, familia hutunzi, lakini pia hujawahi kunifikisha kileleni, so nimepata serengeti boy ambae anweza yote hayo kuyatekeleza"
hapo nadhani utaweza kuachana nae, na maisha ukiona hayaendi na unataka kurudiana nae njoo...
Pole sana Manyoka, usijali ni mapito tu na amini yatapita na utasahau kabisa usumbufu unaopata.
Inawezekana huyo jamaa aliokuacha kaona umuhimu wako sasa na anajutia uamuzi aliouchukua, so anataka mrudiane ila kukwambia anaona aibu. Ila sio wanaume wote tuko hivo, ni huyo au hao wachache...
Hapana sio mpige magoti kila mtuonapo, ile kujua tu kuwa mimi ni mumeo inatakiwa u-behave vipi tukiwa pamoja, hata kama unataka kitu basi jua staili nzuri ya kuomba, sio mwanamke unakuwa mkorofi mpaka mtu unajiuliza nilioa mke au tafrani. ni hayo tu nadhani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.