Sikubaliani na wewe. Kupoteza sio tafsiri ya kua hana uwezo maana hata walio bora hupoteza pia. Kifo isiwe sababu ya kumfanya mtu asifanye anachokipenda kwa ajili ya maslahi ya familia yake. One day atashinda tu!
Mimi ni fala kabisa. 4M nimeikosa kizembe hivi. Sitaki kupanic nisije bet leo kwa pressure nipewe za uso. Sitengenezi behewa, naweka game 5 tu (odds 3-5)natia mpunga wa kutosha. Nahitaji kua serious na hii biashara
Na huwezi amini niliutengea 50. Ila sio mbaya, kama ipo, ipo tu. Kuna jackpot moja ya perfect12 niliiandaa hivi, halafu nikasahau kuilipia. Kuja kucheki asubuhi matokeo mech 11 zilitick, halafu hakukua na aliyepredict game 11 kwa ufasaha. Nilimind sana.
Huu mkeka ukitiki ntajiona ni fala wa mwisho. Asubuhi niliuandaa, mchana kazi zikabana nkasahau kuulipia. Ningejua bora ningeuweka humu wadau wampige mande kanji. Sio poa kabisa
Sema nashauri hii ya genoa, possibility ya red ipo maana Genoa ana mchezo wa nguvu sana. Mwezi uliopita alipata red cards 4. Ila mwisho wa siku hii ni betting, lolote laweza tokea.
Yah hii imewahi kunikuta pia. Wakanipa namba ya whatsapp nitume vitambulisho na email yangu. Ilichukua mda kuactivate account yangu lkn mwisho wa siku ilikaa poa. Cha muhimu wasumbue kupitia whatsapp number yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.