Umeandika kwa ushabiki sana. Hili kanisa (viongozi) hawapendi wachungaji wenye maono. Unamwongelea Kimaro na Mtasai these guys have visions angalia impact kwenye sharika zao. Mnataka wachungaji wanaosinzia.
kroiler ni watagaji wazuri sana, changamoto ni soko la mayai. Ukiuza mayai ya kroiler kwa bei kama ya mayai ya layers huwezi pata faida na wateja wengi uswazi watapendelea mayai cheap ya layers. Lakini kama una wateja wako wa mayai ya chotara watako weza kununua kwa sh 12,000 hadi 15,000 kwa...
Alikuwa sahihi kusikilizia kwanza madhara ya chanjo, alichokosea ni kukebehi na kuponda hadharini wakati hakuna nchi iliyolazimishwa kuchuka chanjo. Haikutakiwa kuwaponda na kuwakebehi wakati chanjo zote za watoto zinatoka kwao. Ilitakiwa tuseme kwamba bado tunajiridhisha kwanza.
Nimemwelewa mdau, watu wa nyumbani kwenu mara nyingi hawapendi uwe exposed kwenye risk, wanataka uwe kwenye confort zone tu na mafanikio yako kinyume kabisa na comfortability.
Nadhani hili suala la kufeli kwa hizi shule liko connected sana na utamaduni wa pwani kuliko uislam wenyewe. Mfano nikiangalia rafiki zangu waislam wa bara kama Kigoma, Bukoba wanathamini elimu. Au angalia waislam wa nchi kama Ufaransa, Uturuki na pengine they value education. Sasa tatizo kubwa...
Mkuu hapa bongo huduma ya maji ni kama luxury commodity, wenzetu sasa hivi wanagundua technlogy mpya za kivita, wanafanya research za kutibu wadudu wakati sisi hospitali hazina madaktari, madaktari wamesoma lakini hakuna bajeti ya kuwaajiri. Tramp na Kabudi wanaishi dunia tofauti kabisa
Vita za kisasa watu wantumia sana teknologia, mwenye technology ya kisasa zaidi ndo anakuwa mbabe. Yale mambo ya wanajeshi kuvunja matofari sijui na nini huwezi yapiga majeshi ya hawa mabeberu ambo kilasiku wako kwenye uvumbuzi wa technology ya kijeshi. Pia tujifunze kitu kimoja kutoka vita ya...
Sababu mojawapo ya mabinti kukosa mwenza wa kukuoa ni kupenda kukaakaa nyumbani, unakaa nyumbani kilasa saa dady, mamy muda wa kukutana na watu unapungua sana, unahamaki muda umeenda sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.