Kwai ni ya vijiji tu nadhani hata mitaa ya mjini pia itapata. Kweli ahaidi ipo pale pale. Na shule nyingi pia zishapta funfu la mwezi Januari (Free education for all)
Tatizo hili linaweza kuwa ni kutokana na kutokouwa na sera sahihi za nishati(energy policy) kulikuwa na ya 1992 april, then kuna draft ya 2015 hizo za nishati, bado kuna ya gesi 2013? Sasa sijui gesi sio nishati? Tunatakiwa kama taifa tuwe tunajua tunahitaki nishati kiasi gani na lini. Ili...
Sifa uchwara??? Anza na maneno haya kwa takwimu za safari za mwaka mmoja bilioni 600 zinatosha kujenga lami km 400, sasa endelea vinginevyo madarasa??/ magari washawasha??? Nk. Hapa kazi tu
kuchota mavi na kuyaweka chumbani? kimsingi mavi (lowassa) yamechotwa kutoka chooni (ccm) yakaletwa chumbani (ukawa) hii kama ndio mana yake basi waliompa kazi hii padre wajue kuwa kawananga zaidi. choo kitabaki kuwa choo na ni sehemu ya kuhifadhi uchafu(kinyesi na mkojo). Ikiwa na maana ya kuwa...
Kimantiki unaweza kuona kama ni tatizo ila kimkakati ni hatari lakini kwa kuwa anayetoka nje ya ccm ni lowassa na sio magufuli wajenga hoja wanaweza kulitumia hilo hilo tangazo kama promo ya lowassa dhidi ya magufuli kwani yeye bado yuko ndani ya ccm. Ni mitizamo tuu
Maambukizi ya ukimwi yalikuwa 15% mwaka 2005 na leo yapo 4%,. Hii inaonyesha wengi waliokuwa nao wamekufa na hakuna maambukizi mapya hizi ni sifa za kijinga
nyumba za walimu zilikuwa 70 na zimeongezeka mpaka 78 miaka 10 unaongeza nyumba nane. Mi nadhani ndio maana kaona aondoke ni aibu na huyu...
Ni email zipi hizo au zile za kuomba msaada wa ongezeko la pesa kwani kazi inaonekana kuwa nzito zinahitajika millioni mia saba ili kazi ikamilike. Au ni zipi hizo mails
Nasikia uinggereza wao wana ajira maalumu kwa mchawi na wachawi hufanya interviiew na aliye mchawi zaidi hupewa kazi katika moja ya bustani zinazotunza mambo ya uchawi. Basi ili tusifute hivi vibali tuwe na ajira ya mchawi na mganga mkuu wa jadi. Hawa watasaidia kujua wachawi na waganga feki na...
Ubalozi na Israel tuliufunga baada ya sisi kuonyesha na kuisupport palestine. Waisrael wakajiondoa na wao ndio waliokuwa wameanzisha JKT. Kwa sasa ukienda israel unaweza kufanya application ya viza kupitia kwa agent aliyeko israel. Sio kweli kwamba tuna ubalozi, Na pia ukumbuke hata vatican...
Unatakiwa ukaa kwenye chama kwa muda gani ili uweze kuwa kiongoozi. Its a fair tale kuwa chama kitakuwa hajikauelewa. Na mtu mwadilifu huwezi enda kwenye chama cha wenzako ndani ya wiki mbili wakakupa dhamana na kuwaongoza wao ukakubali. Ki msingi utakuwa hujajitendea haki wewe na wao. Falsafa...
For thinkers, hii ni moja wapo ya mbinu anayoitumia mkuu kuwatengenezea jeshi uhalali wa kusimamia zoezi la uchanguzi. Hili kwa mwenye maono ya mbali inabidi lipingwe sana. Huu ni ujanja ujanja eti wagawe vitabu, watumike kwenye kazi nyingine, kwanini wasiende kongo
hongera sana kuna kina mama wa ajabu anataka kula peke yake. Miaka 38 hajakuonyesha baba yako iweje leo una kazi? Mimi ningewatosa wote tena mbaya. Mpe baba aliyekulea furaha yake
Mjifunze uandishi uliondika umewaondoa kabisa chadema kuwa wenye huu muhustasari. With your little braing you can impersonalize brained institutions like chadema kweli umejitekenya angalia usije jitia kidole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.