Kwa wale wasiojua mchango wa Lamwai kweney Upinzani ni yeye aliesimama kidete kumtoa Gerezani Seif Sheriff Hamad aliekuwa katika kesi ya Nyaraka za siri .Lamwai musimhukumu wka yaliomkuta ni sawa sawa na Kasanga Tumbo. Muacheni Lamwai afunze vijana wengine watakaofuata Nyayo zake hapo Bongo.
I...
I will put my prediction every month kwa kila Mkoa Jinsi Upinzani ulivyozidi nchini Kama utakumbuka kuna Mwandishi mmoja alisema in 2010 election is over but kuondoka Kwa DR Slaa Bungeni ni pigo kubwa kwa CCM kwani alitumia muda wake wote kujenga upinzani nchini nje ya bunge na sasa CCM is in...
Tatizo la chadema hawajijui rasilimali waliozonazo zikishawatoka ndio watajua makosa waliofanya kama awaliofanya CCM walipomfukuza SeifSheriff Hamad end of the day ndio huyu Hamad aliwatesa CCM hadi wamekaa naye chini kumrudisha madarakani .Kwa upandewa Chadema hawaelewi Waislamu are very...
Kwani niwaulize Watanzania si kuna majina mengine si kuna Husssein Mwinyi , Ridhwan Kikwete , Kina Kawawa , Vikarume si Royal family zote hizi si watazania tunapenda majina makubwa tu ?
Watanzania wanaogopa nini kuweka new Royal Family au system inapanga tu na Watanznaia kazi yao kupiga makofi tu.
Chadema ndio muna wasomi ila hamuwezi kupigana vita viwili wka wakati mmoja itakuaje leo Mupigane na CCM upande wa Pili pia mupigane na Chama Kikubwa cha Upinzani CUF munawa confuse Watanzania na kuwarudisha nyuma katika harakati za kupigania ktiba mpya ya Tanzania chagueni less eviil muunge...
The statement quoted Mr Netanyahu as promising to help build a "coalition against fundamentalism" in East Africa, incorporating Kenya, Ethiopia, South Sudan and Tanzania. Watanzania tujiulize kweli rafiki yangu anatafuta pesa ya Kutimiza ndoto yake ya Urais Raila hii sitawaficha kuna report ya...
KAMA KWELI hao chadema wanaamini mkono utakatika basi waendelee kufuata tu kama sungura labda utakatika miaka ya usoni. Tuwaulize Chadema toka chama chao kiundwe wameifanyia nini nchi wamefanya nini kubadilisha katiba ya nchi kwa manufaa ya watu wote . Hadi leo hii Watanzanai wote hawazijui...
KAMA KWELI hao chadema wanaamini mkono utakatika basi waendelee kufuata tu kama sungura labda utakatika miaka ya usoni. Tuwaulize Chadema toka chama chao kiundwe wameifanyia nini nchi wamefanya nini kubadilisha katiba ya nchi kwa manufaa ya watu wote . Hadi leo hii Watanzanai wote hawazijui...
Kwanza niwaambie wanaforum watanzania inabidi tuwe matured si ametumia uhuru wake wa KATIBA YA KUJIUNGA CHAMA anachopenda na pengine alitaka kuwaambia wafuasi wenzake kwua amehama kwenye nyumba hiyo amepata majirani wapya ugomvi wa nini ndio uhuru wa Democracy huo tupunguze jazba na ufuasi ...
Nitawaonya Watanzania kuwa tusishangirie kwa Mtanznaia kupata nafasi ya Ocompo je Jaji huyu atawahukumue kina Uhuru Kenyata vipi na tuko nao kwenye Umoja wa Afrika Mashariki , Pia niwaulize vipi twue proud na ICC inayotumika na nchi za mgharibi kwuaondoa au kuwapunish wanaoharibu maslahi yao kwa...
Haya Mikael P Aweda Chadema nasikia jina la mzee wetu Professor safari ndio mgombea Mwenza haya Mgombea urais ni nani mutaweza harakati za Zitto kuwa na ndoto zake za Urais kumeueka Pembeni au kukosa kura za Waislamu kuwa chadema haitaki waswahili wa Pwani ? na CCM uchaguzi ujao washachagua...
Ikiwa CUF ni CCM B na jee Chadema si chama cha Kanisa ! sasa si bora tubaki na huyu marehemu CCM . NCCR ni chama chenye Historia kubwa kwa Tanzania ikiwa Mutakumbuka 1995 ndio chama kilichokua msatari wa Mbele kupigania mageuzi pamoja na CUF ila Chadema kilikua chama cha wachaga na kilikosa...
Mimi kwanza si mfuasi wa Membe wala wa CCM ila kauli ya Membe imenipa hope ya ujasiri wake nakumuona Membe kama Kiongozi shupavu kama ule wakati wa Nyerere kwani alisema Tanzania ni nchi sisi hatushawishiwi kumtambua mtu yoyote kuitambua nchi kwa shinikizo la mtu au Taifa fulani tuna uhuru wetu...
NAFIKIRI JIBU LAKO UTALIPATA KWENEY ARTICLE HII HAPA ISOME UTAFAIDIKA NA KUFUNGUKA UBONGO
The Gaddafi love-in ends | Al Jazeera Blogs
The Gaddafi love-in ends | Al Jazeera Blogs
NATO Secretary General Anders Fogh Rasmussen has said that 'there is no military solution to the Libya conflict'...
Nafikiri kamma chadema wako smart ni watu pekee kuitumia mada hii kuonesha jinsi CCM ilivyowabagaua Waislamu wa TAnganyika na hata kuwakatalia kuwa na KADHI kama Chadema ni smart na wanataka kuungwa mkono na Waislamu waende deep kwenye Historia na wampe reserach Mzeee wenu akamwage jukwaani na...
Nape alitumiwa na Chadema kuunda chama na Mpendazoe ili kukisambaratsiha CCM alitumia style ya Odinga huu ndio ukweli kama hamujui Nape ana uanachama siku nyingi. Wakubwa wanamhifadhi tu kwa maslahi yao na ndio alipoondolewa mjini na kupelekwa vijijini baada ya Usalama wa taifa kumshtua Rais na...
Mimi Nitamuuliza huyu mla MAKUMBIRA huko Mtwara au Masasi sasa CCM haiwaamini vijana wake hadi walete wazee ndio wapate kura za wazee , haya jimbo moja tu , Mkapa , Wasira , Mzee wa Watu Mangula, Magufuli , January Makamba , Shigela nikiendeleza hii lsit naweza kusema jee 2015 lsit hii ya wazee...
Ingawa CCM ineshinda ila huu ni msiba mkubwa kwa CCM Mbunge gani atakeeheshimika jimboni kwake wakati 51% ya Wapiga kura wamemkataa hapa ninawasifu Chadema kutoka 0% kwenye jimbo hili hadi 45 % ni big jump ila kwa CUf as well wanahitaji kusoma alama za nyakati walizotumia CCM na Chadema kuweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.