Search results

  1. Nduka Original

    Gavana wa Benki KUU Tanzania!

    Na pia Tutuba kitendo cha kuwa Katibu Mku hazina automatically amekuwa akiingia kwenye BODI ya BOT hivo anafahamu kila kitu kinavyoenda ndani ya BOT
  2. Nduka Original

    Hii kwako unaichukuliaje?

    Kama hupendi hivyo usikubali aolewe mwache akae hapo kwako tu itapendeza
  3. Nduka Original

    Nilitembea na binti ya dada yangu bila kutegemea

    Serious mimi nilikuwa nahitaji huduma ya massage 100% niliomba anitafutie mtu akasema anakuja mwenyewe
  4. Nduka Original

    Nilitembea na binti ya dada yangu bila kutegemea

    Anko ana game zuri sana mtu hujuti
  5. Nduka Original

    Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Kwanza hongera kwa kumcheat Mume wako mama wa watoto wa nne. Kuna kitu hawa married women hamuelewi sisi wanaume kitendo cha kumvua nguo mke wa mtu na kumlala yani unamdharau sana yule mwanamke japokuwa una enjoy nae tendo la ndoa ila una mdharau kupita maelezo though kwenye hii case wewe haupo...
  6. Nduka Original

    Nilitembea na binti ya dada yangu bila kutegemea

    Nilitembelea Mkoa fulani kikazi na katika mapumziko yangu jioni nilikutana na binti wa binamu yangu akiwa anapata kinywaji na kijana ambae sina uhakika kama ni boy friend wake ama la. Tukasalimiana na tukabadilishana na namba. Huyu binti alikuwa anafanya kwenye spa katika hoteli kubwa hapa...
  7. Nduka Original

    Watumishi wa Mungu wanachanganya

    Mimi sikatai kazi yao ila ninachokataa huko kuwa kama wapiga ramli
  8. Nduka Original

    Watumishi wa Mungu wanachanganya

    Watumishi wengi wa Mungu wanapenda kusema wameoteshwa au amekuona kwenye ndoto na ameona nyota yako imechukuliwa. Mimi huwa siamini kitu kama hicho je kunakuwaga na ukweli wowote? Na pia mimi siamini kwenye kuombewa napenda zaidi mtumishi anifundishe jinsi ya kusali kisha aniache niongee na...
  9. Nduka Original

    Marafiki na Jamaa wa Sabaya waangua kilio Mahakamani

    Sabaya hata lingefia huko ndani siyo hasara
  10. Nduka Original

    Uteuzi: Mhandisi Cyprian John Luhemeja ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NARCO

    Wewe hukumbuki Dkt Allan Kijazi alikuwa DG/CEO wa TANAPA na wakati huo huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mali asili na Utalii. TANAPA ina automous egencies 8 zente ma DG na Boards. Hivyo alikuwa ana wasimamia ma DG wenzake na kama Ex-official anaweza kuhudhuria Bodi zote kama PS na kwa TANAPA...
  11. Nduka Original

    #COVID19 Hivi Covid-19 bado ipo Tanzania?

    Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home. Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma. Naomba jukwaa linishauri
  12. Nduka Original

    Kikao cha kuunda TANU nyumbani kwa Hamza Kibwana Mwapachu - Nansio, Ukerewe 1953

    Mi nafikiri defend agenda yako wewe mwenyewe na si kwamba sababu ni historia ya wazee wako basi haiwezi kupingwa? Kwahiyo Makongoro nae aje hapa a defend historia ya TANU sababu tu nia mzee wake?
  13. Nduka Original

    Waziri wa Nishati sio mbunifu kutuondoa kwenye matatizo yanayosababishwa na umeme. Hajui nchini kuna Uraniun?

    January is too hypothetical so try not to envisage copiously from that voguish Chap
  14. Nduka Original

    Bungeni: Mjadala wa dharura kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Mbunge asema tozo mbili zinaongeza 792 kwenye bei

    Kuleta jambo bungeni lijadiliwe it's a step already sasa kwanini husubiri unaamuwa kuwa pessimistic kwamba tusitegemee makubwa? Bunge limejadili na leo PM amekaa vikao! Kuna watu mko negative sana hata kupata maendeleo binafsi ni ngumu sana hata mafuta yauzwe JERO kwa lita
  15. Nduka Original

    Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

    Unajuwa hawa jamaa JPM aliwafanyia kitu kibaya sana, they have been out of active politics for six years. Sasa kwa mwana siasa ni ngumu sana kama huendi Bungeni, hufanya mikutano then utakuwa dunderhead mana huna haja yakufanya research ili uilepeke wapi. Hivyo hawana hoja yakujadili kuhusu mafuta
  16. Nduka Original

    Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

    Advertisement ni advertisement and you must keep doing in different modalities, fanyeni tafiti mtueleze hayo mafanikio madogo ya RT ni yapi ili tuwe na criteria zaku critisize RT. Ujinga wa Heche ni hii comparison aliyofanya unless he was joking and I keep hammering on him. Natakaka sana vijana...
Back
Top Bottom