Heee makubwa hawa watu balaaa, kwanii na mimi nimetumiwa jamani . Kwa position ya public relation officer alitaka elfu 30000 ila kwa sasa namba hazipatikani hahaha
Nina kiwanja eka moja kigamboni sh mil 15 ni km 18 kutoka ferry njia ya kwenda kongowe na 3 km from main road. Ume
me hamna barabara hadi shambani kwa gari 0712769766 kwa mawasiliano
Nina certificate ya journalism from Rhodes University na nina uzoefu wa zaidi ya miaka sita kutumia digital newsrooms, nina diploma ya social science na degree ya politics and management of social development @ ataweza kunilipa kweli? Kama yupo tayari this is my hotline 0712769766
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.